Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Wakuu hivi mshahara umetoka? Kwa wanaoutumia benk ya NMB mshahara umetoka? Au ndiyo nill wote kama mimi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah kmmkewapo waliopata na wapo wengi ambao hawajaona chochote. pesa zimeelekezwa kwenye uboreshaji daftari na kulipa mawakala
Daaah kmmke
Kuna "*****"na" mama Amina "wote ni wamama😂🤣🤣🤣🤣 Mama£🙌
🤣🤣🤣🤣 Mama£🙌
Haya bhanaKuna "*****"na" mama Amina "wote ni wamama😂
Kwani mwisho wa mwezi umefika? Leo si ndio kwanza tarehe 23?Serikali hii kama haitofilisika! Sijui aisee hopeless kabisa hii serikali
hivi huwa hamuoni aibu kuulizia mshahara wa mwezi humu? Mtaonekana mna njaa kali na hamna shughuli zingine za kuwaingizia fedha, mnaishi kwa kutegemea mshaharaWakuu hivi mshahara umetoka? Kwa wanaoutumia benk ya NMB mshahara umetoka? Au ndiyo nill wote kama mimi?
Ndio anaishi kwa kitegema mshahara, so?hivi huwa hamuoni aibu kuulizia mshahara wa mwezi humu? Mtaonekana mna njaa kali na hamna shughuli zingine za kuwaingizia fedha, mnaishi kwa kutegemea mshahara
Mshahara ni haki yanguhivi huwa hamuoni aibu kuulizia mshahara wa mwezi humu? Mtaonekana mna njaa kali na hamna shughuli zingine za kuwaingizia fedha, mnaishi kwa kutegemea mshahara
so what?Ndio anaishi kwa kitegema mshahara, so?
jiunge na benki uwe unapata taarifa huko kama mshahara umetokaMshahara ni haki yangu