Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kwani Kuna ambao hawajapata mshahara wao hadi sasa?Babu wa mchongo Grahams hebu tupe muongozo😭😭
Kila mmoja atapata mshahara wake labda kama utakuwa uliripotiwa vibaya na HRO wenu, maana Kuna maHR kama hujajaza PEPMIS wanaweza ku-recommend usilipwe mshahara wako