Kwani Kuna ambao hawajapata mshahara wao hadi sasa?Babu wa mchongo Grahams hebu tupe muongozo😭😭
Haha haha haha Tajiri wa matajiri halafu umeajiriwa? Waajiriwa wote ni mafukara na ni watumwaWakuu hivi mshahara umetoka? Kwa wanaoutumia benk ya NMB mshahara umetoka? Au ndiyo nill wote kama mimi?
Heeeeh! Pepmis tena🙆♂️🙆♂️🙆♂️Kwani Kuna ambao hawajapata mshahara wao hadi sasa?
Kila mmoja atapata mshahara wake labda kama utakuwa uliripotiwa vibaya na HRO wenu, maana Kuna maHR kama hujajaza PEPMIS wanaweza ku-recommend usilipwe mshahara wako
Usijali, hope wako utakuwa njiani ama tayari kwenye AkauntiHeeeeh! Pepmis tena🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Sahihi mkuuHaha haha haha Tajiri wa matajiri halafu umeajiriwa? Waajiriwa wote ni mafukara na ni watumwa
SahihiID Yako na wewe kuulizia mshahara hata haviendani ila ndio uhalisia wako
Kwani kafanya vibayaID Yako na wewe kuulizia mshahara hata haviendani ila ndio uhalisia wako
We huogopiiii!Tajiri wa matajiri kaajiriwa
Nilishapokea wa kwangu na ninakaribia kumaliza ili nianze tena kushindia maji na kupiga miayo kwa siku 26 zijazo.Wakuu hivi mshahara umetoka? Kwa wanaoutumia benk ya NMB mshahara umetoka? Au ndiyo nill wote kama mimi?
Pole Sana mkuu...sisi wengine MISHAHARA INAKUTANA.Wakuu hivi mshahara umetoka? Kwa wanaoutumia benk ya NMB mshahara umetoka? Au ndiyo nill wote kama mimi?