Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

Ukiwa na Akili fupi utaelewa kama nilivyoandika na ulivyonukuu hapo ila kwa Werevu wameshajua nataka nini hasa hapa.
Nimekuelewa sana. Ila tu mwonekano mzuri kwa macho sio guarantee ya mwenzi kutokuchepuka. Ingekuwa hivyo wazuri wote walioolewa wasingechepukiwa. Au vinginevyo kina Uwoya, Wema sijui mamiss wote wangekuwa wake za watu na wasingechepukiwa. Samaki wa mapambo haliwi mkuu!
 
Jamaa akili yako ndg sana. Kwaio umeshindwa kutofautisha jamaa anakopatia ugali na maisha yake halisi. Hii ni kama tuu mchungaji anavokemea uzinzi wakati yeye anazini. Grow up man. HALAFU SIJUI KWA NINI NIMECOMENT HUU UZI
 

Attachments

  • SGN_05_04_2024_1714832545958.png
    SGN_05_04_2024_1714832545958.png
    213.5 KB · Views: 11
Jamani sio kila couple ina changamoto kwenye mahusiano yao, wapo watu wanayaishi mapenzi ya kweli.
Katika jambo naweza kukukatalia hadi kesho ni hili Bibie!
Tena mkipendana sana basi changamoto lazima ziwepo tu.

Ingawaje kiwango cha uvumilivu tunatofautiana couple moja na nyingine. Na matatizo pia yanatofautiana.
 
Katika jambo naweza kukukatalia hadi kesho ni hili Bibie!
Tena mkipendana sana basi changamoto lazima ziwepo tu.

Ingawaje kiwango cha uvumilivu tunatofautiana couple moja na nyingine. Na matatizo pia yanatofautiana.

Sio kweli.
Wapo Watu wanaishi mapenzi ambayo ûkiyaona hutaamini. Yake mapenzi ya tamthilia.
Ninàushuhuda
 
Back
Top Bottom