Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

Sio kweli.
Wapo Watu wanaishi mapenzi ambayo ûkiyaona hutaamini. Yake mapenzi ya tamthilia.
Ninàushuhuda
Labda kama mmekutana wawili wanafiki na wazindiki, ila wanaopendana kwa dhati lazima wakumbane na changamoto tu, ukikutana na mnafiki wa kukujibu "sawa baby" kwa kila kitu hutaona changamoto zozote.
 
Labda kama mmekutana wawili wanafiki na wazindiki, ila wanaopendana kwa dhati lazima wakumbane na changamoto tu, ukikutana na mnafiki wa kukujibu "sawa baby" kwa kila kitu hutaona changamoto zozote.

Changamoto sio chuki
Changamoto za kiuchumi na maisha sio tatizo kwenye mapenzi.

Ila zile za kitabia kama usaliti wa zinaa, mapombe, dharau sijui ubinafsi hizô kwa baadhi ya mahusiano hakuna kitu kama hicho.

Wanafiki na wasaliti wanafanana kitabia ya kutokuaminiana na kudhani Watu wote ni wanafiki au sio waaminifu kama wao walivyo.
 
Ili asipendelee upande wowote aliamua asiwe na mke.
 
JJ Mwaka kumpe jogoo hapandi mtungi??
 
hao motivation speakers wote ni waongo tu, hasa ukija kwenye suala la utekelezaji wa hio miradi wenyewe wameshindwa ndio maana wamechagua hio kazi ya ushauri na kuuza vitabu ili mkono uende kinywani! ukiwaskiliza
 
Sasa hizo changamoto za dharau, pombe, uzinzi, uongo, kuumizwa kihisia nk ndio sehemu halisi ya mapenzi. Huwezi kuishi na mwenzi wako kwa miaka 10+ bila kukutana na mojawapo kati ya hayo. Kumbuka tu graph ya upendo huwa haipandi wakati wote, no matter how you love her. Zile ups na downs zinaweza hata kukufanya ukawaza(question) upendo wako kwake.

Ukiona ndoa inaenda smooth for decades kuna mmoja anaminywa na hana namna, ila wote mkiwa huru, utashangaa na kujiuliza mengi.

Waliosema marriage is not a bed of roses hawakuwa wajinga.
 


MSANII TU HUYO NIMESOMA NAYE UDSM
 
Yule ile ni fani yake kasomea, huwezi kumjudge kwa ajili ya hiko. Unaambiwa fuata maneno na siyo matendo, ni kama wachungaji tu wanavyotuhubiria ila mwisho wa siku nao ni binadamu
 
Mi huwa nakwambia unawaza upumbavu sana we jamaa hivi akili yako ilienda wapi tuifuate?
 
Mapenzi hayana formula!...unaweza kuta yeye ndo anapitia mazito kwenye ndoa yake
 
Haaaa genta kama genta nimecheka sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…