Anawapumzikia na kutolea stress zake kwa nyie nyumbu ππππKwahiyo Yeye Mkewe hachepuki, Yeye hachepuki na kwamba Yeye ni Mtakatifu sana katika Mahusiano na Saikolojia? Tafadhali mwenye Picha ya Mke wa Dk. Chris Mauki tafadhali aiweke hapa ili labda wenye Changamoto zetu za Kimahusiano tuitumie Kuwaonyesha Wapenzi / Wake zetu ili Wakiiona tu nao Wabadilike upesi Kitabia na Kero ziishe Majumbani mwetu na Mapenzi yawe mwemwere mwemwere tu.
Jamani sio kila couple ina changamoto kwenye mahusiano yao, wapo watu wanayaishi mapenzi ya kweli.
Anakula chuma kama kawaida sema kwa kuwa maarufu ndio mnaona kwamba yeye kamanda
Ivi ni kweli niliwahi kuisikia hiiMmm jamaa Ana Piga sanaa totoz za UDSM mke wake ana msongo sanaa
Ivi ni kweli niliwahi kuisikia hii
Vipi Darasani alikuwa Kipanga au wa Kawaida tu?MSANII TU HUYO NIMESOMA NAYE UDSM
Pamoja na BAN za JamiiForums ila yuko Ikulu nchi fulani nikiwa kama VVIP na kila Siku nakuwa jirani na Mkuu wa nchi husika. Je, Wewe mwenzangu ambaye hata hujawahi kupata BAN hapa una lipi la maana la kukufanya Uheshimike na uwe VVIP nilivyo Mimi? Moron...!Popoma ana Ban? Huyu jamaa kwa mwaka anapigwa ban ngapi?
Acha awabandue tu Mimi napenda sana kuona / kusikia Mwanaume ni Mbanduaji Mzuri kwani nami napenda Kubandua mno.Jamaa anakula sana mbususu za sinza hapo,ni mdau mzuri tu
Nyumbu ni yule Aliyekuleta duniani na siyo Mimi.Anawapumzikia na kutolea stress zake kwa nyie nyumbu ππππ
Acheni awakaze. Ulitaka abandue Dada zako au? Sifa ya Mwanaume yoyote yule aliye Rijali ni Kubandua tu na hakuna Huruma.Mmm jamaa Ana Piga sanaa totoz za UDSM mke wake ana msongo sanaa
Mkuu kwahiyo kwa sasa wewe ndo mganga (mpiga ramli) wa kiongozi wa hiyo nchi? Hongera sana.Pamoja na BAN za JamiiForums ila yuko Ikulu nchi fulani nikiwa kama VVIP na kila Siku nakuwa jirani na Mkuu wa nchi husika. Je, Wewe mwenzangu ambaye hata hujawahi kupata BAN hapa una lipi la maana la kukufanya Uheshimike na uwe VVIP nilivyo Mimi? Moron...!
Mnavyoona kutwa tuko hapa JamiiForums mnakariri na kudhani kuwa tunafanana? Endeleeni tu Kukariri hivyo hivyo FOOLS nyie.Mkuu kwahiyo kwa sasa wewe ndo mganga (mpiga ramli) wa kiongozi wa hiyo nchi? Hongera sana.
πππ we bwege una PhD ya masifa na kujikweza.. Uwepo wako ni burudani hapa JF.Acheni awakaze. Ulitaka abandue Dada zako au? Sifa ya Mwanaume yoyote yule aliye Rijali ni Kubandua tu na hakuna Huruma.
Sina PhD nina Degree yangu moja tu ya SAUT ila nashangaa niko Ikulu ya nchi kama VVIP je, Wewe Msomi hasa uko wapi? Idiot...!πππ we bwege una PhD ya masifa na kujikweza.. Uwepo wako ni burudani hapa JF.
Una uhakika alikimbiwa na mkewe sababu hana nguvu za kiume? Au ni udaku tu wa Bongo?Watu kama wakina Mauki ndio wana matatizo kuliko sisi, Mmesahau ishu ya JJ Mwaka anawahubiria watu na kuwauzia dawa za kuongeza nguvu za kiume wakati yeye mwenyewe ana hilo tatizo. Na akakimbiwa na Mke? Hawana ishu watu kama Hawa ni blah blah tu na kujitafutia pesa kupitia wanyonge.
Mimi ni msomi mkubwa ninayeweza kuku-challenge popoma. Halafu form six ulikuwa na three au four kama ulienda SAUT.Sina PhD nina Degree yangu moja tu ya SAUT ila nashangaa niko Ikulu ya nchi kama VVIP je, Wewe Msomi hasa uko wapi? Idiot...!
Unakutana na mtu anajiita mentor wakat hana practical relevance ya kile anacho mentor watu wake..hana any feasible achievement juu ya kile anchohubiria watu.hao motivation speakers wote ni waongo tu, hasa ukija kwenye suala la utekelezaji wa hio miradi wenyewe wameshindwa ndio maana wamechagua hio kazi ya ushauri na kuuza vitabu ili mkono uende kinywani! ukiwaskiliza