Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Shukrani kwa kunijulisha mkuu 🙏🏽Mpaka wa Dar na Pwani upo Daraja la mto Mpiji kabla hujafika Mzani ya zamani ya Kibaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kwa kunijulisha mkuu 🙏🏽Mpaka wa Dar na Pwani upo Daraja la mto Mpiji kabla hujafika Mzani ya zamani ya Kibaha.
Ya Mpigi magohe itajengwa pia kwenye huo mradi ?!Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Kura anapiga yeye?Mbunge hawezi kuhofia kupoteza jimbo sababu ya kutojengwa barabara, tena hata hatishiki. Anachoweza kuhofia ni suala la kuteuliwa na chama chake, ila kama ana uhakika wa kupitishwa na chama chake basi hata barabara isipitike yeye hajali. Labda atakachohofia ni pale akiona kelele zenu zinaweza kufika kwa Rais na katibu mkuu wa chama chake
Kibiti mbona kuna afadhali. Msumi ni janga.Msumi na mpiji Magoe utadhani wapo Kibiti
Uko sahihi...vidole havilingani.....pia kuna nyakati ngumu maishani safarini.Mbona ujasema wamejenga wenye vipato, msumi hakuna shule wazazi wanapeleka shule watoto na magari yao, msumi hakuna maji watu wamechimba visima vyao, msumi hakuna zahanaati kwa sababu wakazi wa uko wana vipato vyao siyo issue kwenda hospital
Na mie najua iko Mbezi.Msumi ipo mbezi nani huyo anasema ipo kibaha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kweli! Hiko wilaya ya ubungo. Unapandia mbezi mwisho unavuka barabara ya morogoro Road unaelekea hukoo ndani kasikazini ya goba! Kule kule kumejazana wabongo wachovu bila shaka! Ukifika mbezi mwisho utawaonea huruma walivyojipanga foleni wakisubiri migari yao michovu kama vile mibasi iliyokataliwa michakavu ndo inaendaga msumi/misumi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio sehemu pekee dar hii abiria wake wanapanga foleni ka shule kupakia daladala
Naomba picha ya google map inayoonesha kuwa Msumi kuna kaya laki mojaGoogle map
Mkuu hii nchi ni mabingwa wa blah blah.....kinachotakiwa ni barabara....hayo ya km...mkandarasi....DMDP....zabuni na blah blah zingine za you tube....ni usanii..Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Unapenda/umezoea kudanganywa.Naomba picha ya google map inayoonesha kuwa Msumi kuna kaya laki moja
Nisaidie screenshot kabisa , yenye kuonesha Mpiji kaya zinafika laki mojaUnapenda/umezoea kudanganywa.
Find Population on Map
Define an area on a map then find out the estimated population insidewww.freemaptools.com
Huwezi kuwa na akili timamu ukaishi Msumi binafsi nilikaa mwenzi mmoja wa mateso nikaikimbia kama jela😳Ni kama kumesahaulika miundombinu ni mibovu mno,mbunge wa huko ana kazi ya kufanya kutetea kiti 2025. Ila watu wanapakimbilia sana sijui kuna nini ?
Watakuwa wameiga nchi nyingi za ulaya kama uingereza. Hata Japan nimeona wanapanga foleniNdio sehemu pekee dar hii abiria wake wanapanga foleni ka shule kupakia daladala
kuna changamoto sana kule.Huwezi kuwa na akili timamu ukaishi Msumi binafsi nilikaa mwenzi mmoja wa mateso nikaikimbia kama jela😳