DOKEZO Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

DOKEZO Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Braba
Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Ya Mpigi magohe itajengwa pia kwenye huo mradi ?!
 
Mbunge hawezi kuhofia kupoteza jimbo sababu ya kutojengwa barabara, tena hata hatishiki. Anachoweza kuhofia ni suala la kuteuliwa na chama chake, ila kama ana uhakika wa kupitishwa na chama chake basi hata barabara isipitike yeye hajali. Labda atakachohofia ni pale akiona kelele zenu zinaweza kufika kwa Rais na katibu mkuu wa chama chake
Kura anapiga yeye?
 
Mbona ujasema wamejenga wenye vipato, msumi hakuna shule wazazi wanapeleka shule watoto na magari yao, msumi hakuna maji watu wamechimba visima vyao, msumi hakuna zahanaati kwa sababu wakazi wa uko wana vipato vyao siyo issue kwenda hospital
Uko sahihi...vidole havilingani.....pia kuna nyakati ngumu maishani safarini.
 
Sio kweli! Hiko wilaya ya ubungo. Unapandia mbezi mwisho unavuka barabara ya morogoro Road unaelekea hukoo ndani kasikazini ya goba! Kule kule kumejazana wabongo wachovu bila shaka! Ukifika mbezi mwisho utawaonea huruma walivyojipanga foleni wakisubiri migari yao michovu kama vile mibasi iliyokataliwa michakavu ndo inaendaga msumi/misumi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Mkuu hii nchi ni mabingwa wa blah blah.....kinachotakiwa ni barabara....hayo ya km...mkandarasi....DMDP....zabuni na blah blah zingine za you tube....ni usanii..

TRUST ME 👍
 
Back
Top Bottom