Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
We maji dumu buku,kimbembe usafiri sasa ukirudi kazini mwili umechoka kwa kujipinda kwenye vigari vyao vifupi kama kibititi πππkuna changamoto sana kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We maji dumu buku,kimbembe usafiri sasa ukirudi kazini mwili umechoka kwa kujipinda kwenye vigari vyao vifupi kama kibititi πππkuna changamoto sana kule.
Maji ni changamoto ya muda mrefu, mahali penye shida ya usafiri ni shida sana. Na lile poda la vumbi πWe maji dumu buku,kimbembe usafiri sasa ukirudi kazini mwili umechoka kwa kujipinda kwenye vigari vyao vifupi kama kibititi πππ
Yaani siku ya pili kukaa Msumi ndio niliamini kuna madalali wanatumia dawa unajikuta umepanga maana niliji uliza hivi zilikuwa akili zangu kweli kupanga huku π³ππMaji ni changamoto ya muda mrefu, mahali penye shida ya usafiri ni shida sana. Na lile poda la vumbi π
π naam we ujui service charge ni tamu lazima dawa ihusike, yani wewe kweli wa kupanga msumi πππYaani siku ya pili kukaa Msumi ndio niliamini kuna madalali wanatumia dawa unajikuta umepanga maana nilijuuliza hivi zilikuwa akili zangu kweli kupanga huku π³ππ
Goba na sehemu niliyokuwa nafanya kazi kulikuwa kuchoto nikaona bora huko japo mwanzo nilikuwa sikufahamu mazingira yake.π naam we ujui service charge ni tamu lazima dawa ihusike, yani wewe kweli wa kupanga msumi πππ
Goba hukuiona si bora hata ungeenda kifuru.
Uliyakanyaga πGoba na sehemu niliyokuwa nafanya kazi kulikuwa kuchoto nikaona bora huko japo mwanzo nilikuwa sikufahamu mazingira yake.
Msumi na mpiji Magoe utadhani wapo Kibiti
Naona kuna mchanganyiko wa wakaazi wastaarabu......na ndio kisa na maaana wanasahaulika.Hawa jamaa wananifurahisha sana. Ukiwakuta pale Mbezi wao huwa wanasimama kwenye mstari ulionyooka wakisubiri daladala za kwenda kwao.. Hata kama hakuna daladala ila wao lazima wasimame katika msitari. Siku ya kwanza nilipowaona nilidhani wamerogwa.. Maana si tabia za watu wa Dar hizi..
Kupojee kwani?Niliwahi kupanga huko mwanzo mwa 2001 niliacha kodi sehemu ni ya ajabu sijapata kuona alaaniwe yule dadali mwongo[emoji2955]
Haka huko mkuranga kuna mbezi πππLakini si inaitwa "Mbezi msumi".. Au mpaka wa Dar na mkoa wa pwani katika morogoro road unaanzia wapi maana binafsi hata kibamba huwa naijumuisha mkoa wa Dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We maji dumu buku,kimbembe usafiri sasa ukirudi kazini mwili umechoka kwa kujipinda kwenye vigari vyao vifupi kama kibititi [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa jamaa wananifurahisha sana. Ukiwakuta pale Mbezi wao huwa wanasimama kwenye mstari ulionyooka wakisubiri daladala za kwenda kwao.. Hata kama hakuna daladala ila wao lazima wasimame katika msitari. Siku ya kwanza nilipowaona nilidhani wamerogwa.. Maana si tabia za watu wa Dar hizi..
Halaf unakuta akina Intelligent businessman wanapata guts za kukutongoza wakat mtu ulishaanza kupambana na kodi toka mwaka 2001!! We intell wewe achaga utukutu wako mdogo angu π. Ww 2001 bado unatumia vibagadu kujifunza kutembea dede maana hakuna baby walker enz hizo.Niliwahi kupanga huko mwanzo mwa 2001
Na serikali ipo inajinadi kuupiga mwingiMaji ni mtihani sana sana......na serikali ipo haina habari
Hakuna historia ya bomba toka kuumbwa kwa dunia
Mkuu kujenga vululu vululu ndiyo ujenzi gani huo?Huko watu wamejenga vululuvululu
Maendeleo yatakujaje
Ova
Kujenga bila mpangilioMkuu kujenga vululu vululu ndiyo ujenzi gani huo?