DOKEZO Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

DOKEZO Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wakazi wa Msumi tujuane tafadhali!
Nimeishi huko mwaka wa 6 Sasa sijawahi jutia,..!!
Hivi mlitegemea serikali iweke maji kwenye ngedere,ijenge Barabara pasi watu kuwepo?
Punguzeni kukatisha Tamaa watu,Kuna jambo ukiliongelea watu tunajiuliza uwezo wako wa kufikiri.
Nimezaliwa kimara,hapakuwa na maji Wala Barabara baada ya muda tukapata.
Vivyo hivyo,sinza k/Koo,tabata,ubungo nk.
Hatuwezi kulala na kuamka kukuta Kila eneo Lina maji na Barabara bila kusahau umeme,MAENDELEO HATA YA NYUMBANI KWAKO HAYAJI KWA SIKU MOJA!
Mwenzetu unapangaga foleni kusubiri gari la kwenda Msumi. ?
 
Y not,.ukinikuta na hii mvua inavyonyesha utanionea huruma.😜
Hata mimi hivyo hivyo na nikibahatisha siti pamoja na ubovu wa barabara....lazima nivute usingizi nasikiliziia vituo mara Mwanza...Tabata...kwa Bundala....Kavembelwa....kwa Kiroboto....Mfenesini....kwa Mjumbe...Uwanjani duuuh ila Msumi RAHA. 👍
 
Karibia na uchaguzi mtapitishiwa grader lichonge barabara na kuweka kifusi. Halafu ataletwa mkandarasi wa barabara na kutangaziwa kuwa bajeti imeshatenga na upembuzi yakinifu unaendelea kwa mkandarasi kuwa site. Then uchaguzi ukipita tabu ileile. Mfano mzuri ni hiyo barabara yenu ya Mbezi Makabe kuna sanaa nyingi zimekuwa zikifanyika mwaka wa 7 huu sasa, mara kajengwe kalami mita 10 tena kanaanzia katikati ya barabara. Badala lami ianzie pale ilipo barabara ya goba , wao wamejenga kakipande katikati ambapo mwanzo na mwisho ni vumbi tu.

NINA KIWANJA HUKO MAKABE MSAKUZI KILA NINAPOPITA kwenye ile barabara nakata tamaa kabisa
Ile lami waliyoweka katikati ya vumbi na vumbi majuzi january walirudi wakisema wanaiendeleza uelekeo wa kwenda Msakuzi wamechonga barabara mpaka pale njia panda Makabe ila mkandarasi au sijui ndiyo tanroad ana ugomvi na dawasa na tanesco.

Kwamba mmoja ahamishe nguzo mwengine ahamishe bomba miezi inasogea tu na mvua hizi barabara kule walikovuruga kunazidi kuharibika,usikate tamaa japo tunacheleweshwa lakini labda ipo siku kutakaa sawa
 
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.

Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.

Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
  • Msumi hakuna barabara.
  • Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
  • Msumi hakuna kituo cha Polisi
  • Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?

Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.

Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.

Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.

Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.

Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.

Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.

Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.

Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Kunafaa
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.

Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.

Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
  • Msumi hakuna barabara.
  • Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
  • Msumi hakuna kituo cha Polisi
  • Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?

Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.

Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.

Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.

Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.

Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.

Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.

Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.

Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Kunafaa tuje kufungua Dldm
 
Kura anapiga yeye?
Mkuu muelewe jamaa alichokueleza.

Kigogo yeyote wa CCM kinachomtisha yeye ni kamati teuzi ya chama chake tu akishapitishwa mpinzani atakaesimama nae atajua namna ya kupambana nae kwenye tume ya uchaguzi.
 
Msumi ,Msakuzi Mpiji magoe ni kama mkoani 😀😀Over and Out
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.

Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.

Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
  • Msumi hakuna barabara.
  • Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
  • Msumi hakuna kituo cha Polisi
  • Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?

Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.

Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.

Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.

Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.

Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.

Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.

Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.

Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
,
 
Back
Top Bottom