Mwenzetu unapangaga foleni kusubiri gari la kwenda Msumi. ?Wakazi wa Msumi tujuane tafadhali!
Nimeishi huko mwaka wa 6 Sasa sijawahi jutia,..!!
Hivi mlitegemea serikali iweke maji kwenye ngedere,ijenge Barabara pasi watu kuwepo?
Punguzeni kukatisha Tamaa watu,Kuna jambo ukiliongelea watu tunajiuliza uwezo wako wa kufikiri.
Nimezaliwa kimara,hapakuwa na maji Wala Barabara baada ya muda tukapata.
Vivyo hivyo,sinza k/Koo,tabata,ubungo nk.
Hatuwezi kulala na kuamka kukuta Kila eneo Lina maji na Barabara bila kusahau umeme,MAENDELEO HATA YA NYUMBANI KWAKO HAYAJI KWA SIKU MOJA!
Y not,.ukinikuta na hii mvua inavyonyesha utanionea huruma.😜Mwenzetu unapangaga foleni kusubiri gari la kwenda Msumi. ?
Hata mimi hivyo hivyo na nikibahatisha siti pamoja na ubovu wa barabara....lazima nivute usingizi nasikiliziia vituo mara Mwanza...Tabata...kwa Bundala....Kavembelwa....kwa Kiroboto....Mfenesini....kwa Mjumbe...Uwanjani duuuh ila Msumi RAHA. 👍Y not,.ukinikuta na hii mvua inavyonyesha utanionea huruma.😜
Kama jela kivipi? Kuna changamoto gani kiasi hichoHuwezi kuwa na akili timamu ukaishi Msumi binafsi nilikaa mwenzi mmoja wa mateso nikaikimbia kama jela😳
Kiwanja naweza kupata kwa bei gani huko?Y not,.ukinikuta na hii mvua inavyonyesha utanionea huruma.😜
Mpiji magoe ni km 25 kutoka mbez Magufuli terminal to bunju B.Braba
Ya Mpigi magohe itajengwa pia kwenye huo mradi ?!
Millioni 10Kama jela kivipi? Kuna changamoto gani kiasi hicho
Huduma za kijamii ni changamoto hukoKama jela kivipi? Kuna changamoto gani kiasi hicho
Duh 10M parefu sana bora kusogea pwani ukatafute eneo tulivuMillioni 10
Sehemu ina changamoto za huduma za kijamii ila viwanja bei iko juuDuh 10M parefu sana bora kusogea pwani ukatafute eneo tulivu
Ile lami waliyoweka katikati ya vumbi na vumbi majuzi january walirudi wakisema wanaiendeleza uelekeo wa kwenda Msakuzi wamechonga barabara mpaka pale njia panda Makabe ila mkandarasi au sijui ndiyo tanroad ana ugomvi na dawasa na tanesco.Karibia na uchaguzi mtapitishiwa grader lichonge barabara na kuweka kifusi. Halafu ataletwa mkandarasi wa barabara na kutangaziwa kuwa bajeti imeshatenga na upembuzi yakinifu unaendelea kwa mkandarasi kuwa site. Then uchaguzi ukipita tabu ileile. Mfano mzuri ni hiyo barabara yenu ya Mbezi Makabe kuna sanaa nyingi zimekuwa zikifanyika mwaka wa 7 huu sasa, mara kajengwe kalami mita 10 tena kanaanzia katikati ya barabara. Badala lami ianzie pale ilipo barabara ya goba , wao wamejenga kakipande katikati ambapo mwanzo na mwisho ni vumbi tu.
NINA KIWANJA HUKO MAKABE MSAKUZI KILA NINAPOPITA kwenye ile barabara nakata tamaa kabisa
Unaweza hata ukalia namna mambo yanavyoenda kwenye hili taifaMSUMI na MPIGI MAGOHE. Ni aibu kwa Kweli
Viongozi wapo busy kutoa billion 190 kwenda kununua V8 za wakuu wamikoa,wilaya sijui DAS.
Yaani hii inchi umasikini ni CCM ndiyo wanaleta umasikini dah!!.
KunafaaMsumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.
Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.
Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?
- Msumi hakuna barabara.
- Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
- Msumi hakuna kituo cha Polisi
- Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.
Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.
Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.
Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.
Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.
Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.
Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.
Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Kunafaa tuje kufungua DldmMsumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.
Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.
Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?
- Msumi hakuna barabara.
- Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
- Msumi hakuna kituo cha Polisi
- Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.
Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.
Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.
Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.
Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.
Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.
Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.
Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Mkuu muelewe jamaa alichokueleza.Kura anapiga yeye?
,Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.
Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.
Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?
- Msumi hakuna barabara.
- Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
- Msumi hakuna kituo cha Polisi
- Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.
Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.
Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.
Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.
Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.
Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.
Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.
Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Wabongo wasio wachovu ni wa namna gani? Wakoje na wanaishi wapi?kumejazana wabongo wachovu bila shaka! Ukifika mbezi mwisho utawaonea huruma walivyojipanga foleni wakisubiri migari yao michovu