Mwishoni mwa mwaka jana walisema ujenzi unaanza April, kuna daraja limesombwa kule, wakasema hawana haja ya kujenga lingine kwa muda kwakuwa ujenzi wa barabara unaanza April.DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba.
Hivi ndicho kipimo halisi cha akili ya muafrika. Imagine mtu anaanza kazi bila coordination na wadau wenzake muhimu. Nadhani kabla ya kuanza ujenzi ilitakiwa tayari kila mdau amehusishwa na kupangiana muda wa kuwajibika kwa kila mmoja yaani TANROAD, DAWASCO na TANESCO .Ile lami waliyoweka katikati ya vumbi na vumbi majuzi january walirudi wakisema wanaiendeleza uelekeo wa kwenda Msakuzi wamechonga barabara mpaka pale njia panda Makabe ila mkandarasi au sijui ndiyo tanroad ana ugomvi na dawasa na tanesco.
Kwamba mmoja ahamishe nguzo mwengine ahamishe bomba miezi inasogea tu na mvua hizi barabara kule walikovuruga kunazidi kuharibika,usikate tamaa japo tunacheleweshwa lakini labda ipo siku kutakaa sawa
Yule mkandarasi mhuni kweli kweliIle lami waliyoweka katikati ya vumbi na vumbi majuzi january walirudi wakisema wanaiendeleza uelekeo wa kwenda Msakuzi wamechonga barabara mpaka pale njia panda Makabe ila mkandarasi au sijui ndiyo tanroad ana ugomvi na dawasa na tanesco.
Kwamba mmoja ahamishe nguzo mwengine ahamishe bomba miezi inasogea tu na mvua hizi barabara kule walikovuruga kunazidi kuharibika,usikate tamaa japo tunacheleweshwa lakini labda ipo siku kutakaa sawa
Kibiti.Msumi ni wapi ?
Hali Hiyo Ngumu Ndiyo Turufu Ya Chama Dollars Inawapigia MwingiMSUMI na MPIGI MAGOHE. Ni aibu kwa Kweli
Viongozi wapo busy kutoa billion 190 kwenda kununua V8 za wakuu wamikoa,wilaya sijui DAS.
Yaani hii inchi umasikini ni CCM ndiyo wanaleta umasikini dah!!.
Ktk makosa makubwa Watanzania tunafanya ni kuwaamini wanasiasa.Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Mjinga yule sehemu za kumwagwa zege vibarua wake walikuwa wanachanganya na chepe na kumwaga na vindoo kama vile wanajenga choo.Yule mkandarasi mhuni kweli kweli
Kawapigia lami kuanzia kati kamaliza 😄
Nchii f kweli kweli
Ova
Heheee manake hapo kwanza acha nichekeMsumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli.
Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani wa mji, achilia mbali DC.
Mbunge wa Ubungo (labda atapeleka pua) kwa ajili ya kampeni, Sina hakika na Mkurugenzi na blah blah wengine, kutoa umeme.
Kma si ushirikina wa Wamakonde ni nini?
- Msumi hakuna barabara.
- Msumi hakuna zahanati zingatia ni eneo lenye kaya zaidi ya laki moja, Ref.Google Map.
- Msumi hakuna kituo cha Polisi
- Msumi hakuna maji ya bomba lakini kuna ofisi za CCM kila baada ya kilometer chache.
Msumi hakuna madaraja baada ya kuzolewa na mvua, zingatia madaraja yote yalijengwa kwa nguvu za wananchi.
Tukisema Msumi hakuna Zimamoto tutakuwa tumeungana na washirikina manake mji mzima zimamoto ni moja tu pale faya kwa ajili ya Kariakoo na Muhimbili, hili hakuna kiongozi mwenye uwezo wa kulizungumzia manake akili zao ziko kunako matumbo yao.
Haya tuendelee Msumi Shule ya Msingi ni moja na haitoshi zingatia idadi ya kaya, nilisikitika mvua inanyesha wamesongana kibarazani kisa wanasomeaga chini ya mti.
Kuna majengo ya madarasa yapo upande wa kulia kama unaelekea msumi maeneo ya uwanjani sijui ni ya sekondari au ya msingi wenyeji mtatujuza.
Msumi hakuna kituo cha daladala ingawa daladala zipo kwa uchache zingatia hakuna barabara ndio kisa na wenye mabasi hawaitaki njia hiyo na abiria ni wengi sana sana kaya laki moja, mara waseme darajani mara waseme center lakini kote ni ushirikina tu.
Msumi hakuna miundo mbinu ya kukusanya taka.i.e Dampo kwa sasa hawataona athari.
Ngoja kidogo, kaya laki moja na kila siku watu wanazidi kuhamia, watu wa msumi hebu wekeni kero zenu hapa manake hampo jijini wala mamkoa.
Msumi Chui ametoroka msituni anaonekana mtaani, zingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Bila kusahau kwa kavimbirwa mkuuNdy uende na msakuzi huko sjui kwa lipelanya kwa rubaba huko 😄
Sema kuna mashuwa wanaishi
Sema njia mbovu....
Serikali sijui halmashauri ya ubungo iwaonee huruma wenye magari huko
Ova
Niliwahi kupanga huko mwanzo mwa 2001 niliacha kodi sehemu ni ya ajabu sijapata kuona alaaniwe yule dadali mwongo🤨
Kwa muktadha wa kupanga upo sahihi lakini kama una makazi yako kule na una familia kubwa kwa kipato hiki cha Mtanzania wa kawaida hauwezi mtu ukawa hauna akili.Huwezi kuwa na akili timamu ukaishi Msumi binafsi nilikaa mwenzi mmoja wa mateso nikaikimbia kama jela😳
Ile road ya Kavimbirwa inayoanzia pale barabara ya Goba na mvua hizi niliambiwa haipitiki tena ni mahandaki tu mpaka Bajaj zimekimbia.Bila kusahau kwa kavimbirwa mkuu
Itoe Makabe bro,Makabe sisi kinatutesa barabara tu issue za maji tumeshavuka japo kwa maumivu makali labda sema hospital ndiyo hatuna tunategemea ya Mbezi au tuunge hadi Mpiji Magoe.Misumi ,msakuzi,mpiji na makabe kote huko hakuna maji,hospitali Kuna kizahanati tu na barabara ndiyo balaaa yaani makorongo Kwa kwenda mbele lakini yule mbuge wao Kila kuchangia anasifu rais kwa kazi nzuri kiasi kwamba akiwa karibu unaweza kuzaba Kofi.
Mbona kuna watu na wana kipato kikubwa tu wanakaa maeneo hayo au wameridhika na hali ya hukoKwa muktadha wa kupanga upo sahihi lakini kama una makazi yako kule na una familia kubwa kwa kipato hiki cha Mtanzania wa kawaida hauwezi mtu ukawa hauna akili.
Mbona hapo kwa lipelanya wanakaa watu wazito kiasi na wana magritte mazuri tu lakini njiaa ya huko hawaipigii makeleleItoe Makabe bro,Makabe sisi kinatutesa barabara tu issue za maji tumeshavuka japo kwa maumivu makali labda sema hospital ndiyo hatuna tunategemea ya Mbezi au tuunge hadi Mpiji Magoe.
Anawekeza ninizingatia Msitu ameshapewa mwekezaji.
Ni kweli hata huko Msumi kuna watu wenye uwezo wanaishi ila linapokuja suala la wananchi kupata shida sample huwa inachukuliwa kutokana na wale hohehahe wa maeneo husika.Mbona hapo kwa lipelanya wanakaa watu wazito kiasi na wana magritte mazuri tu lakini njiaa ya huko hawaipigii makelele
Ova
Mpiji magoe Hospital gan au ile ya wilaya kule mabwepande?Itoe Makabe bro,Makabe sisi kinatutesa barabara tu issue za maji tumeshavuka japo kwa maumivu makali labda sema hospital ndiyo hatuna tunategemea ya Mbezi au tuunge hadi Mpiji Magoe.
Kuna siku nipo pale Mbezi nikamsikia jamaa wa Bajaj anaitia ”Msumi na Bajaj buku nne” nikamwangaliaaa nikamuona hivi huyu anadhani hela watu wanaenda kuokota?nikaishia kumtukana kimoyo moyo.Y not,.ukinikuta na hii mvua inavyonyesha utanionea huruma.😜
Hiyo ni kwembe,king'azi,malamba mawili,kibamba ni aibu maeneo hayo na serikali hauna hata habari,inafikiria kuongeza v8 za ma rc!!Ni jimbo la Kibamba lote, mawasiliano ya barabara ni mtihani mkubwa sana, kipindi hiki watu wanaacha magari yao nyumbani, njia hazipitiki, wengine tupo 2.5km away from makao makuu ya wilaya ila network ya barabara utadhani tupo mashamba ya mpunga huko.
Futseke zao!