tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,931
- 15,849
Hello JF,
Kuna haka katabia ka sisi Wabongo kutokuwa wakweli pindi tunapokuwa na miadi na wenzetu, mimi leo yamenikuta.
Kuna jamaa nilikuwa na miadi ya kukutana naye asubuhi ya leo saa moja kamili, sasa mimi nimefika eneo la tukio on time, lakini jamaa yeye mpaka sasa hajafika na kila nikimpigia anasema anafika muda si mrefu.
Sasa nimetafakari nikaona niulize humu: Hivi Mtanzania akikuambia anafika muda si mrefu, huwa anamaanisha yuko umbali kiasi gani?
Kuna haka katabia ka sisi Wabongo kutokuwa wakweli pindi tunapokuwa na miadi na wenzetu, mimi leo yamenikuta.
Kuna jamaa nilikuwa na miadi ya kukutana naye asubuhi ya leo saa moja kamili, sasa mimi nimefika eneo la tukio on time, lakini jamaa yeye mpaka sasa hajafika na kila nikimpigia anasema anafika muda si mrefu.
Sasa nimetafakari nikaona niulize humu: Hivi Mtanzania akikuambia anafika muda si mrefu, huwa anamaanisha yuko umbali kiasi gani?