juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,478
NaamEti eeee, inawezekana akawa mtu mzima ila amedumaa. Mungu atusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaamEti eeee, inawezekana akawa mtu mzima ila amedumaa. Mungu atusaidie.
Hahahahah..ww jamaa noma..umesoma university ya English Medium..hahahahaSiwezi maana nimesomea English medium schools from kindergarten to university..then nimekaa sana abroad hivyo my Swahili is challenging sana na hata hapa nimejitahidi sana kuandika kiswahili.
Thus, samahani sana kama umekuwa offended na maandishi yangu murua ya mseto.
But kwanza inakuwaje mtu unakasirika na mtu kutumia lugha mbili kwenye maandishi yake? Just ignore them ...utapata ulcers bure kumind visivyo na maana wala ku add value kwako.
Ahahahhaha! Wahaya education system yetu ni unique sana hapa East Africa.Hahahahah..ww jamaa noma..umesoma university ya English Medium..hahahaha
Kosa lake kuonyesha pic za temptetion akit.iwa na kupewa mimba mseme amebakwaacha maisha ya kishamba wewe..kosa lake nin sasa
Watoto ni wa jamii sio wako peke yako!!! asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu tek that to the bank.Shughulikia malezi ya watoto wako wa wenzio achana nao..kila mtu ana uhuru wake wa kuishi anavyotaka..
Mimba iingie wapi hapo!Kosa lake kuonyesha pic za temptetion akit.iwa na kupewa mimba mseme amebakwa
Mkuu mabazazi wataanza ku- mu- hunt down .....Mimba iingie wapi hapo!
Hahahaha
Hao ni mawazo ya kwetu Africa,lakini nchi nyengine hasa za Ulaya,watu hawana mawazo kama hayoWatoto ni wa jamii sio wako peke yako!!! asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu tek that to the bank.
Mtoto kama huyu alitakiwa awe shule anasoma ikifika saa nne anaenda kunywa uji na wenzake. Lakini ona mambo anayofanya, kweli ana wazazi huyu mtoto?!
Au ndo wale mnasemaga watoto walioshindikana!! Hivi kuna mzazi kweli anamshindwa mwanae?! Nyie watu kama mnajua hamuwezi kulea bora msizae.
View attachment 793685 View attachment 793686