Namtaka mdogo wako๐Hata kucheza tu hutaki. Nikitaka kukubaiolojia ki GENTAMYCINE je
Kuna ile kila Mara demu anakuuliza kama uko ghetto anakuja,..Mtoto kautaka na kaufata alafu umpigishe story? Labda kama mjomba afanyi kazi.
Hakika mkuu umenena vyema... Ni kama vile umeingia kwenye akili yangu.Hapana. Thamani ya mwanamke siyo Ngono peke yake. Kuna muda mnakaa tu na kupiga story na kubond. Watch a movie that you like together. Do something that you enjoy. Msaidie kupika. Laugh. Enjoy. Tanianeni. Huwa inasaidia Sana hasa kama mna malengo yanayoeleweka. Ila Kama ngono ndiyo kitu pekee kinachowaunganisha basi ni show show ng'wanawane. Ndo yale akikosea akaja kwako wakati yupo kwenye siku zake unamtimua maana hana thamani nyingine kwako eeh!?
Bonding hii ninayoisema hapa huwa ni muhimu sana katika hatua za kufahamiana vyema. Ila pia inafanya vyema Kama binti mwenyewe anajitambua thamani yake na siyo selfish!
na wiki yote bila bila?Kuna ile kila Mara demu anakuuliza kama uko ghetto anakuja,..
Hasa unakuta wiki nzima uko free.. kila siku anakuja kushinda ghetto..
Mda mwingine huipigi mkuu...
J3 jiandaeni kusoma mada za kuomba ushauri ๐Kumbe Leo weekend...mada za utelezi kama zote๐ ๐ ๐ฅ๐ฅ๐๐ฅ
Sawa mkuuYah inawezekana pia mkuu
Ninawashauri wanaume...Hakika
Dogo mhuni tulia na mimi dearNamtaka mdogo wako๐