Hio dealth certificate huwa hawaipokei bank wala mpesa, wanapokea death certificate tu. Sijui hata kwanini!
Warudishie RITA hio dealth certificate, halafu waambie wakupe death certificate. Halafu nenda mahakama ya mwanzo fungua shauri la kuomba kufungua mirathi ya huyo marehemu, mahakama watawapa barua ya usimamizi wa mirathi ndio mwende bank au huko mpesa mkazitoe hela, kama kuna nyumba au kiwanja kaacha mtauza. NA KAMA MAREHEMU AMEACHA MADENI, MTALIPA!
Usipo fanya hivo, jiandae na kesi ya uhujumu uchumi kwa kujipatia pesa kutumia njia ya udanganyifu (Hata kama hela ni Sh 2,000/=, uhujumu uchumi haina dhamana).