FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
Shida ni nini hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isije kuwa anachanganya kati ya hizo hapo kazi mbili View attachment 1561282Picha ya hicho kiduku please, wengine bila picha hatuelewi somo..
Pia usisahau picha ya kipara chako/ afro, dreadlocks whatever na sie tukuthaminishe.
Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
Pisi kama Pisi 😍Picha ya hicho kiduku please, wengine bila picha hatuelewi somo..
Pia usisahau picha ya kipara chako/ afro, dreadlocks whatever na sie tukuthaminishe.
[emoji23][emoji23][emoji23] hizo kazi aachane nazo kabisaIsije kuwa anachanganya kati ya hizo hapo kazi mbili View attachment 1561282View attachment 1561283
Watu mna vituko sana humu ndaniIsije kuwa anachanganya kati ya hizo hapo kazi mbili View attachment 1561282View attachment 1561283
Hivi kumbe bora niendelee kunyoa hivi hivi walau nihisiwe mlokole huku nawapiga bila kutiliwa na shaka[emoji23][emoji23][emoji23] hizo kazi aachane nazo kabisa
Sio kwa dongo hili aisee 😆😆😆Hivi kumbe bora niendelee kunyoa hivi hivi walau nihisiwe mlokole huku nawapiga bila kutiliwa na shakaView attachment 1561313
mkuu samahani, kwani Don Nalimison ni baba ako?Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
ndivyo tulivokua tunanyoa hivyo kabla ya ukoloni. Kuna kitabu cha wamishenari kina picha za wa afrika kabla ya ukoloni na ndivyo wazee wetu walikua wananyoa hivyo. Walivyokuja wakolonj nasisi tukabadilisha mnyoo. Tukaanza kufuga nywele na kuzinyoa kwa usawa.Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
kiduku kote uko, ushangai mtu dume linauza tako, linaweka maziwa,hushangai!Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
Ndio hicho hichoKiduku kipi bro cha hawa wahuni wa buza na mwanznyamala au kipi