Hivi mtu anaponyoa kiduku huwa anatafuta nini hasa? Ni tatizo la kisaikolojia?

Hivi mtu anaponyoa kiduku huwa anatafuta nini hasa? Ni tatizo la kisaikolojia?

Hahahaaa


Imagine Mazigazi 😃😃😃😃😃
images (7).jpeg
 
Bora huyo wa kiduku,cjui anaevaa suruali chini ya makalio anawaza nn mm sielewagi
 
 
Unamjua Kim jog un mnyoa kiduku mkuu ukimsachi anamaremote control ya makombora af ndo umkute hana tekno yako atakutafutia na kukutumia kabom kadogo udill nako
 
Back
Top Bottom