Mimi huwa najiuliza kwanini mzazi asijinyoe kiduku mwenyewe anakuja kumnyoa mtoto asiye maamuzi?Frankly speaking, mimi hata nikaibiwa kitu mahali, mtu wa kwanza kumuhisi atakuwa ni mtu yeyote alienyoa kiduku, regardless amevaa vizuri vipi.
Shida ni nini hasa?
ππππππππππππππππππUnakuta mtu mzima mzee kabisa ne yeye kanyoa kiduku.View attachment 1561488
Unamsema KimUnakuta mtu mzima mzee kabisa ne yeye kanyoa kiduku.View attachment 1561488
Kim sio mzee.Unamsema Kim