Hivi mtu unawazaje kuendesha bodaboda kama kazi?

Hivi mtu unawazaje kuendesha bodaboda kama kazi?

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Yaani hiki chombo cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi, aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda chali.

Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya bodaboda, naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe siyo yaani unakufa kisa buku si ujinga huu.
 
Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Sasa ungetoa na ushauri mkuu. Hawa waliojiajiri kwenye bodaboda ulitaka wafanye kazi gani?
 
Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni ujinga
Kiongozi kuwa na machache. Kesho ya mwanao huijui.

Siyo kila mwenye kuvaa koti jeupe ni Daktari. Wengine wanauza nyama.

Bodaboda ni kazi kama nyingine. Kuna wengi humu wamesoma na kusomesha kwa sababu ya Bodaboda.

Labda uwashauri wahusika watimize wajibu kuzifanya Bodaboda ziwe usafiri wa usalama.
 
Kiongozi kuwa na machache. Kesho ya mwanao huijui.

Siyo kila mwenye kuvaa koti jeupe ni Daktari. Wengine wanauza nyama.

Bodaboda ni kazi kama nyingine. Kuna wengi humu wamesoma na kusomesha kwa sababu ya Bodaboda.

Labda uwashauri wahusika watimize wajibu kuzifanya Bodaboda ziwe usafiri wa usalama.
Hiyo sio kazi ni UCHAFU mwanangu hawezi kufanya hiyo kazi nikiwa hai
 
Back
Top Bottom