Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tumekusikia, Tuma salamu kwa watu wawiliHabari,
Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa?
Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe!!? Umama huo. Eti unaweka bifu na mwanaume mwenzio kisa chungu kinachovuja[emoji57]
Unajisikiaje kupitisha dudu yako kwenye mabaki ya njemba mwenzio? Kinyaa[emoji57]. Bado unatia Ulimi! Dunia simama nishuke.
Mtu hana bikra unamsifia kwamba kajitunza na ni mtamu.. Huo ni uongo. Siwezi sifia makombo..
Unajidai kupata demu mkali. Mungu akikufunulia waliopita hapo utakaa chini ulie. Vitoto vidogo lakini mashine zimechezewa sana.. mileage za kutosha tu. Hapa sijasema injini alizoshusha hadi hapo alipo..
Najua kweli umependa na husikii la mjumbe wala mpiga adhana, lakini kumbuka no matter how beautiful she is, someone somewhere is tired of her shit.
Muwe munatoa hoja hili mwisho wa siku kila mtu ashike njia yakeUkikua utajua.
Kukua hata hapo amekuwa wewe lete hoja nini mtazamo wako hapo?Kha! Sasa km mtamu nisimsifie kisa alishatinduliwa.? Ukikua utaelewa
Tafsiri yake hata akipata asie bikira apambane na hali yake nasio kuweka mambo sawa1. Umeoa? Kama umeoa ulioa bikra?
2. Kama hujaoa unamalizaje haja zako?
Another man's poison is another man's food..
Mkiwa mnaandika haya mkumbuke na kuacha kutongoza wasio na bikra
Ni hisia zako tu wengine tunatetea uhalisiaHata ukibahatika wakumtoa bikra bado hutomuoa wewe na utakaemuoa atakua ametolewa bikra na wengine
Ni hisia zako tu wengine tunatetea uhalisiaHata ukibahatika wakumtoa bikra bado hutomuoa wewe na utakaemuoa atakua ametolewa bikra na wengine
IdiotHabari,
Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa?
Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe!!? Umama huo. Eti unaweka bifu na mwanaume mwenzio kisa chungu kinachovuja[emoji57]
Unajisikiaje kupitisha dudu yako kwenye mabaki ya njemba mwenzio? Kinyaa[emoji57]. Bado unatia Ulimi! Dunia simama nishuke.
Mtu hana bikra unamsifia kwamba kajitunza na ni mtamu.. Huo ni uongo. Siwezi sifia makombo..
Unajidai kupata demu mkali. Mungu akikufunulia waliopita hapo utakaa chini ulie. Vitoto vidogo lakini mashine zimechezewa sana.. mileage za kutosha tu. Hapa sijasema injini alizoshusha hadi hapo alipo..
Najua kweli umependa na husikii la mjumbe wala mpiga adhana, lakini kumbuka no matter how beautiful she is, someone somewhere is tired of her shit.
HahahaWewe una Bikra?
HahahaUmegongewa sio??
Mia
HahahaMtoa mada umechezea jipu uchungu Jiandae,,,wengi wapo kanisani sasa ila wakitoka "Yajayo yatakufurahisha"