Hivi mtu unawezaje kufanya mapenzi na mtu aliyebikiriwa na njemba mwingine?

Hivi mtu unawezaje kufanya mapenzi na mtu aliyebikiriwa na njemba mwingine?

Habari,

Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa?

Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe!!? Umama huo. Eti unaweka bifu na mwanaume mwenzio kisa chungu kinachovuja[emoji57]

Unajisikiaje kupitisha dudu yako kwenye mabaki ya njemba mwenzio? Kinyaa[emoji57]. Bado unatia Ulimi! Dunia simama nishuke.

Mtu hana bikra unamsifia kwamba kajitunza na ni mtamu.. Huo ni uongo. Siwezi sifia makombo..

Unajidai kupata demu mkali. Mungu akikufunulia waliopita hapo utakaa chini ulie. Vitoto vidogo lakini mashine zimechezewa sana.. mileage za kutosha tu. Hapa sijasema injini alizoshusha hadi hapo alipo..

Najua kweli umependa na husikii la mjumbe wala mpiga adhana, lakini kumbuka no matter how beautiful she is, someone somewhere is tired of her shit.
Haya tumekusikia, Tuma salamu kwa watu wawili
 
1. Umeoa? Kama umeoa ulioa bikra?
2. Kama hujaoa unamalizaje haja zako?

Another man's poison is another man's food..

Mkiwa mnaandika haya mkumbuke na kuacha kutongoza wasio na bikra
Tafsiri yake hata akipata asie bikira apambane na hali yake nasio kuweka mambo sawa
 
Bikira nini? Acha utoto hio kitu inaumiza u..me na ukizoe huo ujinga Utaenda kwa wanafunzi na mwishowe jela. Mwanangu Soma
 
Habari,

Inawezekanaje kufanya mapenzi na mtu asiye na bikra halafu unajisifia umepata kifaa?

Halafu unajifanya kupendaaaa... Eti ukiachwa unapata presha, asipate presha alombikri upate wewe!!? Umama huo. Eti unaweka bifu na mwanaume mwenzio kisa chungu kinachovuja[emoji57]

Unajisikiaje kupitisha dudu yako kwenye mabaki ya njemba mwenzio? Kinyaa[emoji57]. Bado unatia Ulimi! Dunia simama nishuke.

Mtu hana bikra unamsifia kwamba kajitunza na ni mtamu.. Huo ni uongo. Siwezi sifia makombo..

Unajidai kupata demu mkali. Mungu akikufunulia waliopita hapo utakaa chini ulie. Vitoto vidogo lakini mashine zimechezewa sana.. mileage za kutosha tu. Hapa sijasema injini alizoshusha hadi hapo alipo..

Najua kweli umependa na husikii la mjumbe wala mpiga adhana, lakini kumbuka no matter how beautiful she is, someone somewhere is tired of her shit.
Idiot
 
Back
Top Bottom