Hivi mtu unawezaje kufanya mapenzi na mtu aliyebikiriwa na njemba mwingine?

Hivi mtu unawezaje kufanya mapenzi na mtu aliyebikiriwa na njemba mwingine?

Yaonekana bado mdogo sana, tunakusamehe..
Na utoto wangu sijawahi badilisha mwanamke. Siwezi kula makombo mimi.. Umechezewa huko halafu uje unilingishie nyamafu?![emoji57]

Nliyembikri naweza mpigia magoti kuomba msamaha, sio nlokuta kashatatuliwa halafu anataka aninyanyase. Salamu hajibu, meseji hajibu, eti ananirusha roho. Aku..

Back to my roots. Kama sijakubikri nakuona kama takataka tu.

Leo nipo Mzumbe nimekuja tafuta dogodogo. Kesho narudi Dar. Ila kama wewe mpenzi wako hujamkuta bikra achana naye.. Utakulaje vyakula vya majalalani? Au mchezee kisha mteme. Usikubali kuwa wa mwisho. Gonga mhuri kisha usepe. Ni aibu kukaa na mke ambaye hujambikri, aliyembikiri akikuona anacheka sana
 
Jiulize kwanza mbona ww umezaliwa baada ya mama yako kuachika,vaa uhusika wa baba yako na hiyo headline yako
 
usikutee ametegeshewa bikra ya kichina akaja kufungua uzi.
 
Kama unataka bikira nenda labour
Halafu usisahau kuwa na wewe unatakiwa uwe bikra pia ili upate bikra..tofauti na hapo you must be humble.
 
Kwani wewe ni bikra????
Mimi bwana ugonjwa wangu ni bikra (sijasema ambao sio bikra sipigi, hapana), tofauti yao ni kwamba, dem nilietoa bikra namjali sana na atafaidi rasilimali zangu (pesa), ila dem ambae sio bikra [emoji16][emoji16][emoji16] hua anapigwa dushee tu hela kidogo sana. Nikijua fulani ni bikra hua nafukuzia kwa nguvu zote mpka nampata.

Note: bikra zipo ila ni chache
 
Back
Top Bottom