Hivi mume wa Mange Kimambi anachepuka kweli??

Mzee wa hat-trick

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
1,730
Reaction score
2,388
Kwa siku nyingi naona jinsi huyu dada anavyoleta habari kama za kijasusi vile, tena nzito nzito na anazileta bila woga. Na wakati mwingine nabak najiuliza huyu dada ni nani?

Hivi mume wa huyu dada Mange Kimambi, anachepuka kweli?? Yani nina wasiwasi huyu kama ndio mkeo, ukichepuka atakuletea mpaka lile jina la uongo ulilondika guest, lodge au hotel. Na anaweza akakutajia mpaka idadi ya mabao uliyomsukumizia huo mchepuko wako.

Angekuwa wangu huyu, mimi D, najua tungeshaachana. Anafuatilia sana mambo aisee. Khaaa...!!!
 
Hakuna mwanaume asiyechepuka
 
Hata wewe unamfuatilia sana kuona kaposti nini
 
Ha ha ha, kama ulikuwepo vile.

Mume alibwaga manyanga kwa sababu ya issues kama hizo.
 
Kwa kifupi hana mume. Ni single mama
 
true,kama yupo nina uwalakini na uanaume wake 😵😳😱
Inaonekana wewe ni muhanga, wanaume waaminifu wapo lakini wanawake mara nyingi wanapotaka kuingia katika mahusiano hawazingatii suala hilo, wao wanachotaka ni maslahi - sasa kama ulitaka maslahi umeyapata, ni kwanini tena utake mtu mwaminifu wakati halikuwa chaguo lako in the first place ?
 


Mumewe ni govi na anachapa sana nje. Hata wewe ungekuwa mume wa huyu Mange, ungefanya hivyo hivyo maana Mange anaboa kishenzi na she's fake
 
Aendelee kutubasharisha bhana. Wala asihangaike na mambo ya kuchakachua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…