Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh...!!!![emoji15] [emoji15] [emoji15]Mtu govi anajulikana tu. weka picha ya mtu yeyote umjuaye nina uwezo wa kukuambia huyo ni govi au la.
mganga hajigangi,, anatalaka zake za kutosha na mwanamke aliyemwita nyani ndo aliyemchukua mume wakeKwa siku nyingi naona jinsi huyu dada anavyoleta habari kama za kijasusi vile, tena nzito nzito na anazileta bila woga. Na wakati mwingine nabak najiuliza huyu dada ni nani?
Hivi mume wa huyu dada Mange Kimambi, anachepuka kweli?? Yani nina wasiwasi huyu kama ndio mkeo, ukichepuka atakuletea mpaka lile jina la uongo ulilondika guest, lodge au hotel. Na anaweza akakutajia mpaka idadi ya mabao uliyomsukumizia huo mchepuko wako.
Angekuwa wangu huyu, mimi D, najua tungeshaachana. Anafuatilia sana mambo aisee. Khaaa...!!!
Asilimia kubwa ya wazungu haswa Wamarekani ni magovi so is Mange's husband na anaonekana tu.
Choo cha kike hicho kaka, ukiingia wajuta, mzungu kamwaga manyanga siku nyingi, na anataka watoto wake, hapo mtambo, ingia ubabuke..
Ninacho kiona kwahuyu Mdada pamoja na mapungufu yake mengine ...kwasasa anapata taarifa kutoka kwenye very reliable sources......amekuwa platform ya watu kusemea/kukosoa au voice of voiceless...kuna watu very senior na Influencial wanaogopa kusema hili kulinda ajira na maisha yao..hivyo wanasemewa kupitia kwa Mange!Mange taratibu ameanza kuwaingia na ata wasiompenda wanamfuatilia,anawafuasi wengi sana,anaaminika kwa Yale asemayo,miaka minne mbele akiendelea ivi athari zake ni kubwa