mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Amemfukunyua Daudi Bashite mpaka basi! Ningekuwa mimi ningeomba po!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna lolote kuwa mkweli tu,Tupo bhana we kama uhuni au umalaya ni wako
Kumbe hata mange mwenyewe humjui, mume amtolee wapi? Kazalishwa kakimbiwa na mumeKwa siku nyingi naona jinsi huyu dada anavyoleta habar KAMA ZA KIJASUSI vile, tena nzito nzito na anazileta BILA WOGA. Na wakati mwngn nabak najiuliza HUYU DADA NI NANI..??
Hivi mume wa huyu dada Mange Kimambi, anachepuka kweli..?? Yan nna waswas huyu kma ndio mkeo, ukichepuka atakuletea mpk lile jina la uongo ulilondika guest, lodge au hotel. Na anaweza akakutajia mpk idadi ya mabao uliyomsukumizia huo mchepuko wako. Angekuwa wangu huyu, mimi D, najua tungeshaachana. Anafuatilia sn mambo aisee. Khaaa...!!!
Ohooooo!!!true,kama yupo nina uwalakini na uanaume wake 😵😳😱
Ndio maana stress zake anaamishia IGHakuna mwanaume mwenye akili timamu anayeweza kuishi na mwanamke mtata kama mange
kama siamini hivi!Hakuna mwanaume asiyechepuka
Duh!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ex waifu alishanifumania kabisa laivu kitandani mwetu nilimpiga saundi had akakubali alikuwa anaota ni illusion. Hadi Leo anadhani hivyo. Mwanaume uwez kubali mambo ngeseki ngeseki lazima Uwe mbishi
Mkuu unatudanganya co wote... Rekebisha kauli pliizHakuna mwanaume asiyechepuka
hahaha jifarijitu na mazambi yako kuchepuka si ngozi et unazaliwa nayo tabia ya ufuska ni mtu mwenyewe.Maana aliyetuumba amesema ktk vitabu vake mtu hujaribiwa kwa tamaa zake mwenyewe.So tamaa yako ndo tabia yako usisingizie wote .we sema mimi wapo ambao hatuchepuki so tupe heshima zetu na sisi acha mawazo ya vijiweni.Hakuna mwanaume asiyechepuka
Ooops adi wew unaamini ivo[emoji134]true,kama yupo nina uwalakini na uanaume wake 😵😳😱
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mwanaume atakayeweza kuishi na mange! Labda mugabe
sanaWANAUME WOTE NI WAAMINIFU
Mwanaume atakayeweza kuishi na mange! Labda mugabe
Ninahisi huyo ni mzungu na alikupenda 100%Mimi ex waifu alishanifumania kabisa laivu kitandani mwetu nilimpiga saundi had akakubali alikuwa anaota ni illusion. Hadi Leo anadhani hivyo. Mwanaume uwez kubali mambo ngeseki ngeseki lazima Uwe mbishi
Mume wangu hachepuki.Hakuna mwanaume asiyechepuka
Hiyo imani ni nzuri kuwa nayo japo haifai. Siku ukija kugundua anachepuka, unaweza kumdhuru vibaya sana au kujidhuru wewe mwnyw. Amini kwmb anachepuka kwa sababu hata wanaochepuka ni wanaume kma yeye tu.Yawezekana yupo smart sana kwny kuchepuka na anafanikiwa sana kuchepuka bila wewe kujua.Mume wangu hachepuki.