Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kibao tu unaumiaje mwaya 😅😅Sitamfanya chochote kama mke nitaondoka hapo nilipo.na pengine hata nisimuoneshe kuwa niliumia wala nilijisikia fedheha.
Lakini ni wapumbavu pekee ndio uaibishana mbele za watu
We naeee kwani hujui kuwa mwanamke au mwanamke anaeshindwa kuzuia hasira zake mbele ya kadamnasi ni mpumbavu na hakuheshimu?Sasa kibao tu unaumiaje mwaya 😅😅
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni mke wa ndoa au zoa zoa?
wana wake kama nyinyi nawaogopa sanaSitamfanya chochote kama mke nitaondoka hapo nilipo.na pengine hata nisimuoneshe kuwa niliumia wala nilijisikia fedheha.
Lakini ni wapumbavu pekee ndio uaibishana mbele za watu
Hakumpa hata kofi la mgongo ?Kaka yangu alipigwa kofi na mkewe akaoa mke mwingine haraka sanaa 😂😂😂😂
Wew hujakaa mbele nyumba nyuma jalala ,kuna wavaa madela vioengele sana bila vibao hawawezi kudumuWe naeee kwani hujui kuwa mwanamke au mwanamke anaeshindwa kuzuia hasira zake mbele ya kadamnasi ni mpumbavu na hakuheshimu?
Unashindwaje kuzungumza tukiwa wawili mpka unipige kibao?
Na mwanamke unatolea wapi ujasiri wa kumpiga mwanaume kibao?
Alioa mpaka sasa wapo wawili 😂Hakumpa hata kofi la mgongo ?
Kwanini mkuu?wana wake kama nyinyi nawaogopa sana
Huyo ana hela..ndio raha ya kua na michuziAlioa mpaka sasa wapo wawili 😂