Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Kwa Jinsi Jamaa alivyowakalia kooni huenda hii ikawa habari nnzuri kwa Wanajangwani endapo watasikia siku Musonye amestaafu
ama badu, ukweli unabakia palepale kwamba huyu jamaa amekaa muda mrefu sana CECAFA tangu nipo form one Tambaza
Hivi hakuna Mtz/EA wa kushika nafasi hii?
ama badu, ukweli unabakia palepale kwamba huyu jamaa amekaa muda mrefu sana CECAFA tangu nipo form one Tambaza
Hivi hakuna Mtz/EA wa kushika nafasi hii?