Sawa Mkuu,,Msukuma huwa anawananga wasomi na spika anamuangalia tu.
nawewe niangalie tu ivyoivyo kama Spika😂
Ana madeni kiasi gani ktk benki zetu?Ana hela na wewe tafutq hela,kwa vitega uchumi vyake hskuna mbunge anaemzidi kwa hela,kwa nini asiongee anavyotaka,hatq akiwaambia vipi hawakoromi kwa kuwa hawana hela na pia ni mpambanaji
Musukuma ni mnafiki hana lolote.Kwa mtu wa elimu ya chini Kujiamini kwake ni jambo kubwa mno kwa msomi wa Kitanzania!
Suala ni hizo hela kazipataje?!Ana hela na wewe tafutq hela,kwa vitega uchumi vyake hskuna mbunge anaemzidi kwa hela,kwa nini asiongee anavyotaka,hatq akiwaambia vipi hawakoromi kwa kuwa hawana hela na pia ni mpambanaji
Achilia mbali njia za ujanja ujanjaAna madeni kiasi gani ktk benki zetu?
Rushwa ni adui kwa ustawi wa taifa letu.Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.
Rejeeni mada tajwa hapo juu.
Mimi nikiwa kijana Mzalendo wa Kitanzania, huwa ninakerwa sana na baadhi ya wabunge akiwemo Joseph Kasheku aka Musukuma hasa kwa tabia zao za kuwaona wale wenye maoni ya tofauti na serikali (au maoni yao wenyewe) kama ni wajinga, waharifu n.k.
Hii imejidhihirisha pia juzi ambako baadhi ya video clips zinamwonesha akivitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwashughulikia wale wanaopinga mpango wa serikali kuzimilikisha/kuzibinafsisha bandari zetu.
Hivi kweli hiyo ni akili kweli?!
Kwa hiyo kwa mtizamo wa Musukuma, anataka sisi wananchi wa kawaida tukae tu kimya hata pale tunaona mambo hayaendi sawa?
Je, huo ni uzalendo au ni ujinga?
Kwa ninavyojua, Mzalendo ni yule ambaye yuko tayari kufa akiitetea nchi yake kwa hali na mali.
Hivyo Musukuma badala ya kuwashambulia wale wenye maoni ya tofauti na yake kuhusiana na suala la Bandari, kwanza kabisa angewapongeza kwa uzalendo na mapenzi yao mema kwa kwa nchi yao, na pili angejielekeza zaidi kwenye kuwaelimisha zaidi wananchi (nikiwemo pia) juu ya umuhimu wa kumilikisha Bandari zetu kwa wageni, na faida za kiuchumi, ulinzi na usalama kwa nchi yetu zitakazopatikana..
Nahitimisha kwa kumtaka Musukuma pamoja na wabunge wenzake wenye tabia hiyo, watuache Watanzania wenzao pale tunapokuwa tunatoa maoni yetu juu ya nchi yetu. Tanzania ni yetu sote. Hivyo sote tunawajibika katika kuilinda na kuitetea nchi yetu.
Ahsanteni sana.
Exactly MkuuRushwa ni adui kwa ustawi wa taifa letu.
Ana hela na wewe tafutq hela,kwa vitega uchumi vyake hskuna mbunge anaemzidi kwa hela,kwa nini asiongee anavyotaka,hatq akiwaambia vipi hawakoromi kwa kuwa hawana hela na pia ni mpambanaji
Biashara ya magendo plus uwizardSuala ni hizo hela kazipataje?!
Serikali ya Zambia walizuia chakula kisitoke nje,sababu kuu ni ikitokea chakula kikapanda bei vurugu zitaibuka.Sawa Mkuu,,
Nakuelewa sana.
Lakini nina imani iko siku, nayo haiko mbali.
Naam siku yaja ambayo Watanzania hawatendelea tena kuwa wajinga na Mazombie kama ulivyotania hapo juu..
Itafikia hatua watasema enough is enough.
Haijalishi kama tutakuwa hai au tumekufa, hiyo siku naiona kabisa, tena ninaiona...
Ili tutoboe nani wakuondoa hizi.Sawa Mkuu,,
Nakuelewa sana.
Lakini nina imani iko siku, nayo haiko mbali.
Naam siku yaja ambayo Watanzania hawatendelea tena kuwa wajinga na Mazombie kama ulivyotania hapo juu..
Itafikia hatua watasema enough is enough.
Haijalishi kama tutakuwa hai au tumekufa, hiyo siku naiona kabisa, tena ninaiona...
Namuhakikishia Musukuma kama kuna kitu kapokea, basi kitamtokea puani siku moja. Ni suala la muda tu. Time will tell.[emoji419][emoji375]Ndo maana wakasema wakati mwingine kunyamaza kimya nayo ni hekima. Sasa yeye, kadri anavyozidi kuongea ongea na kuwatisha wale ambao wako against na huo Mkataba, ndo anazidi kutuaminisha kwamba kuna kitu alipewa, siyo bure!
Maana hata kama ni wajinga kiasi gani, haiwezekani Watanzania mamia kwa maelfu wawe na wasiwasi na huo Mkataba, halafu yeye kazi kututisha-tisha Watanzania wenzake ili tuogope kutoa maoni yetu!
Namuhakikishia Musukuma kama kuna kitu kapokea, basi kitamtokea puani siku moja. Ni suala la muda tu. Time will tell.
Namuhakikishia Musukuma kama kuna kitu kapokea, basi kitamtokea puani siku moja. Ni suala la muda tu. Time will tell.[emoji419][emoji375]Ndo maana wakasema wakati mwingine kunyamaza kimya nayo ni hekima. Sasa yeye, kadri anavyozidi kuongea ongea na kuwatisha wale ambao wako against na huo Mkataba, ndo anazidi kutuaminisha kwamba kuna kitu alipewa, siyo bure!
Maana hata kama ni wajinga kiasi gani, haiwezekani Watanzania mamia kwa maelfu wawe na wasiwasi na huo Mkataba, halafu yeye kazi kututisha-tisha Watanzania wenzake ili tuogope kutoa maoni yetu!
Namuhakikishia Musukuma kama kuna kitu kapokea, basi kitamtokea puani siku moja. Ni suala la muda tu. Time will tell.
Lakini mheshimiwa msukuma ana PhD na siyo ya jalalani, ya nje.Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.
Rejeeni mada tajwa hapo juu.
Mimi nikiwa kijana Mzalendo wa Kitanzania, huwa ninakerwa sana na baadhi ya wabunge akiwemo Joseph Kasheku aka Musukuma hasa kwa tabia zao za kuwaona wale wenye maoni ya tofauti na serikali (au maoni yao wenyewe) kama ni wajinga, waharifu n.k.
Hii imejidhihirisha pia juzi ambako baadhi ya video clips zinamwonesha akivitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwashughulikia wale wanaopinga mpango wa serikali kuzimilikisha/kuzibinafsisha bandari zetu.
Hivi kweli hiyo ni akili kweli?!
Kwa hiyo kwa mtizamo wa Musukuma, anataka sisi wananchi wa kawaida tukae tu kimya hata pale tunaona mambo hayaendi sawa?
Je, huo ni uzalendo au ni ujinga?
Kwa ninavyojua, Mzalendo ni yule ambaye yuko tayari kufa akiitetea nchi yake kwa hali na mali.
Hivyo Musukuma badala ya kuwashambulia wale wenye maoni ya tofauti na yake kuhusiana na suala la Bandari, kwanza kabisa angewapongeza kwa uzalendo na mapenzi yao mema kwa kwa nchi yao, na pili angejielekeza zaidi kwenye kuwaelimisha zaidi wananchi (nikiwemo pia) juu ya umuhimu wa kumilikisha Bandari zetu kwa wageni, na faida za kiuchumi, ulinzi na usalama kwa nchi yetu zitakazopatikana..
Nahitimisha kwa kumtaka Musukuma pamoja na wabunge wenzake wenye tabia hiyo, watuache Watanzania wenzao pale tunapokuwa tunatoa maoni yetu juu ya nchi yetu. Tanzania ni yetu sote. Hivyo sote tunawajibika katika kuilinda na kuitetea nchi yetu.
Ahsanteni sana.
Amepiga nyungu huyo...ndio maana anajiamini.Msukuma anajiamini kupita kiasi.
SawasawaNamuhakikishia Musukuma kama kuna kitu kapokea, basi kitamtokea puani siku moja. Ni suala la muda tu. Time will tell.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣Lakini mheshimiwa msukuma ana PhD na siyo ya jalalani, ya nje.
Kwa maana hiyo Dr. Msukuma ana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchakata mambo mazito kuliko watanzania zaidi ya 50m.
Wengine sijui mnatumiaga mechanism zipi kufikiria!Lakini mheshimiwa msukuma ana PhD na siyo ya jalalani, ya nje.
Kwa maana hiyo Dr. Msukuma ana upeo mkubwa wa kuchambua na kuchakata mambo mazito kuliko watanzania zaidi ya 50m.
Nimetumia mechanism basi, mimi nimeandika tu.Wengine sijui mnatumiaga mechanism zipi kufikiria!
Ukipata mali bila elimu ni sawa na kupata mali uzeeni. Nyodo na mbwembwe nyingi!!!Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.
Rejeeni mada tajwa hapo juu.
Mimi nikiwa kijana Mzalendo wa Kitanzania, huwa ninakerwa sana na baadhi ya wabunge akiwemo Joseph Kasheku aka Musukuma hasa kwa tabia zao za kuwaona wale wenye maoni ya tofauti na serikali (au maoni yao wenyewe) kama ni wajinga, waharifu n.k.
Hii imejidhihirisha pia juzi ambako baadhi ya video clips zinamwonesha akivitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwashughulikia wale wanaopinga mpango wa serikali kuzimilikisha/kuzibinafsisha bandari zetu.
Hivi kweli hiyo ni akili kweli?!
Kwa hiyo kwa mtizamo wa Musukuma, anataka sisi wananchi wa kawaida tukae tu kimya hata pale tunaona mambo hayaendi sawa?
Je, huo ni uzalendo au ni ujinga?
Kwa ninavyojua, Mzalendo ni yule ambaye yuko tayari kufa akiitetea nchi yake kwa hali na mali.
Hivyo Musukuma badala ya kuwashambulia wale wenye maoni ya tofauti na yake kuhusiana na suala la Bandari, kwanza kabisa angewapongeza kwa uzalendo na mapenzi yao mema kwa kwa nchi yao, na pili angejielekeza zaidi kwenye kuwaelimisha zaidi wananchi (nikiwemo pia) juu ya umuhimu wa kumilikisha Bandari zetu kwa wageni, na faida za kiuchumi, ulinzi na usalama kwa nchi yetu zitakazopatikana..
Nahitimisha kwa kumtaka Musukuma pamoja na wabunge wenzake wenye tabia hiyo, watuache Watanzania wenzao pale tunapokuwa tunatoa maoni yetu juu ya nchi yetu. Tanzania ni yetu sote. Hivyo sote tunawajibika katika kuilinda na kuitetea nchi yetu.
Ahsanteni sana.