Hivi Musukuma anajikuta kama nani kuwatisha wananchi kiasi hicho?

Hivi Musukuma anajikuta kama nani kuwatisha wananchi kiasi hicho?

Ukiweka na na kale ka- PhD kake ka mchongo ndo basi kabisa!
Imefikia mahali anajiona yeye ni "first class citizen"
Halafu anavyowananga wasomi sikutarajia naye atafute PHD feki, lengo ni kujinasibisha na usomi pia!!! Hahahah.....
 
Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.

Rejeeni mada tajwa hapo juu.

Mimi nikiwa kijana Mzalendo wa Kitanzania, huwa ninakerwa sana na baadhi ya wabunge akiwemo Joseph Kasheku aka Musukuma hasa kwa tabia zao za kuwaona wale wenye maoni ya tofauti na serikali (au maoni yao wenyewe) kama ni wajinga, waharifu n.k.

Hii imejidhihirisha pia juzi ambako baadhi ya video clips zinamwonesha akivitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwashughulikia wale wanaopinga mpango wa serikali kuzimilikisha/kuzibinafsisha bandari zetu.
Hivi kweli hiyo ni akili kweli?!
Kwa hiyo kwa mtizamo wa Musukuma, anataka sisi wananchi wa kawaida tukae tu kimya hata pale tunaona mambo hayaendi sawa?
Je, huo ni uzalendo au ni ujinga?

Kwa ninavyojua, Mzalendo ni yule ambaye yuko tayari kufa akiitetea nchi yake kwa hali na mali.

Hivyo Musukuma badala ya kuwashambulia wale wenye maoni ya tofauti na yake kuhusiana na suala la Bandari, kwanza kabisa angewapongeza kwa uzalendo na mapenzi yao mema kwa kwa nchi yao, na pili angejielekeza zaidi kwenye kuwaelimisha zaidi wananchi (nikiwemo pia) juu ya umuhimu wa kumilikisha Bandari zetu kwa wageni, na faida za kiuchumi, ulinzi na usalama kwa nchi yetu zitakazopatikana..

Nahitimisha kwa kumtaka Musukuma pamoja na wabunge wenzake wenye tabia hiyo, watuache Watanzania wenzao pale tunapokuwa tunatoa maoni yetu juu ya nchi yetu. Tanzania ni yetu sote. Hivyo sote tunawajibika katika kuilinda na kuitetea nchi yetu.

Ahsanteni sana.
Yule dogo sio wa kumjadili tutajiaibisha hapa kwenye jukwaa la great thinkers.Watu kama wale AKILI hakuna,yaani ni maskini wa AKILI,ndio tuanze kujadili hao, hapana.
 
Asalaam Aleykum wana JF wenzangu.

Rejeeni mada tajwa hapo juu.

Mimi nikiwa kijana Mzalendo wa Kitanzania, huwa ninakerwa sana na baadhi ya wabunge akiwemo Joseph Kasheku aka Musukuma hasa kwa tabia zao za kuwaona wale wenye maoni ya tofauti na serikali (au maoni yao wenyewe) kama ni wajinga, waharifu n.k.

Hii imejidhihirisha pia juzi ambako baadhi ya video clips zinamwonesha akivitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwashughulikia wale wanaopinga mpango wa serikali kuzimilikisha/kuzibinafsisha bandari zetu.
Hivi kweli hiyo ni akili kweli?!
Kwa hiyo kwa mtizamo wa Musukuma, anataka sisi wananchi wa kawaida tukae tu kimya hata pale tunaona mambo hayaendi sawa?
Je, huo ni uzalendo au ni ujinga?

Kwa ninavyojua, Mzalendo ni yule ambaye yuko tayari kufa akiitetea nchi yake kwa hali na mali.

Hivyo Musukuma badala ya kuwashambulia wale wenye maoni ya tofauti na yake kuhusiana na suala la Bandari, kwanza kabisa angewapongeza kwa uzalendo na mapenzi yao mema kwa kwa nchi yao, na pili angejielekeza zaidi kwenye kuwaelimisha zaidi wananchi (nikiwemo pia) juu ya umuhimu wa kumilikisha Bandari zetu kwa wageni, na faida za kiuchumi, ulinzi na usalama kwa nchi yetu zitakazopatikana..

Nahitimisha kwa kumtaka Musukuma pamoja na wabunge wenzake wenye tabia hiyo, watuache Watanzania wenzao pale tunapokuwa tunatoa maoni yetu juu ya nchi yetu. Tanzania ni yetu sote. Hivyo sote tunawajibika katika kuilinda na kuitetea nchi yetu.

Ahsanteni sana.
Roho ya awamu ya 5 inafanya kazi ndani yake.
 
Ukipata mali bila elimu ni sawa na kupata mali uzeeni. Nyodo na mbwembwe nyingi!!!
Hebu weka mifano miwili ya hao madingi wenye nyodo baada ya kupata mkwanja wa uzeeni.
 
Waliomtuma huyo ngumbaru kwenda kwenye vyombo vya habari kutema shudu ndo wenye matatizo. Yaani msukuma na elimu ya la saba ndo akajenge hoja na kupangua hoja kinzani zilizoibuka kwenye mjadala wa bandari.......bila shaka ndo maana elimu inachezewa sana kwa sasa.
 
Back
Top Bottom