Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni kweli kwamba kama pambano lile lingemalizika kwenye round ile , bila shaka Mwakinyo angeshinda kwa points , maana alipeleka ngumi nyingi za maana kwa mpinzani wake.

Lakini kilichonishangaza ni kitendo cha mwamuzi kumaliza pambano wakati bado Indongo yuko imara, hii kwa mnaojua ngumi mnadhani sababu ni nini hasa?
 
Ni kweli kwamba kama pambano lile lingemalizika kwenye round ile , bila shaka Mwakinyo angeshinda kwa points , maana alipeleka ngumi nyingi za maana kwa mpinzani wake .

Lakini kilichonishangaza ni kitendo cha mwamuzi kumaliza pambano wakati bado Indongo yuko imara , hii kwa mnaojua ngumi mnadhani sababu ni nini hasa ?
Kanusuliwa na referee maana alipotea balance ndio maana hajalalamika, professionally referee katimiza wajibu vizuri mno mno
 
Ni kweli kwamba kama pambano lile lingemalizika kwenye round ile , bila shaka Mwakinyo angeshinda kwa points , maana alipeleka ngumi nyingi za maana kwa mpinzani wake .

Lakini kilichonishangaza ni kitendo cha mwamuzi kumaliza pambano wakati bado Indongo yuko imara , hii kwa mnaojua ngumi mnadhani sababu ni nini hasa ?
Unapigwa "punch" 5 bila ya majibu...mwamuzi atalimaliza tu pambano...."boxing" ni mchezo na si Vita ya kuuana.

Mwakinyo alikuwa "anakata ringi" vyema tu.

Kudos kwa "mdigo HM"👍

Though Tony Rashid was fiercely and competitive unfortunately his opponent finished the last round with his experience. Tony is very young , he ascends the ladder of learning and I hope one day he would make it and become the best boxer in the continent💪

#TanzaniaKwanza
#SiempreJMT
 
Ile ni TKO ndugu zangu.

Mtu akipigwa ngumi 5 bila kurudisha Referee au upande wake (kocha) wanaweza sitisha pambano.

Kumbuka pambano ya Wilder Vs Furry.
Referee wa Wlder ndio alisitisha pambano kwa kurusha kitaulo.

#YNWA
 
Jamani boxing ina kanuni zake
Boxing ni BURUDANI na sio kuuana

Kama bondia anapigwa ngumu mfululizo bila majibu na amepoteza balance ni wajibu wa refarii kumaliza pambano, na sio kusubiri hadi bondia apate kipigo cha mbwa koko ndio amalize pambano hii sio vita

Maamuzi ya refa ni pamoja na kujaribu kuzuia maximum damage kwa bondia pindi anapokosa balance anaposhambuliwa

Waswahili walisemaga Nabii hakubaliki kwao.

Watu wanahoji ujinga mwingi sio kwasababu wameona kwa hakika refarii kampendelea Mwakinyo.......HAPANA

Wanahoji kwa sababu hawaamini kama Mtz annaweza kuwa bondia bora kwa level aliofikia Mwakinyo

Unapo angalia kitu kwa jicho la husuda, chuki, visasi hakika utaona kile tu unachokitaka........NEGATIVITY

Wengi wana muhukumu Mwakinyo kwa tambo zake lakini ukweli utabakia kuwa Mwakinyo ni BORA kwa alipofikia sasa, na sio kwasababu kabebwa au kaletewa bondia mchovu. .....UWEZO

Kuna watu wanachotaka wao ni Mwakinyo APIGWE TU ili wa mprove wrong kwasababu ya maneno yake ya tambo
 
Ni kweli kwamba kama pambano lile lingemalizika kwenye round ile , bila shaka Mwakinyo angeshinda kwa points , maana alipeleka ngumi nyingi za maana kwa mpinzani wake .

Lakini kilichonishangaza ni kitendo cha mwamuzi kumaliza pambano wakati bado Indongo yuko imara , hii kwa mnaojua ngumi mnadhani sababu ni nini hasa ?
Watanzania hatupendani ndio shida (wivu) Nyie ndio mlimharibia hata Sammata kule Aston villa
 
Mwakinyo sasa hivi anazungukwa na timu kubwa ya matajiri,haya mapambano wanayanunua mapema kukuza brand..

Uwezo wake wa kupigana mdogo,unaweza kulitambua hilo hata kama wewe sio mtaalam wa ngumi

Haitakuja kutokea kukubali kupigana na Twaha...amalizi raundi 3
 
Mtoa uzi na wanamsapot wote wshamba na asili yao watu wa kanda ya ziwa na moshi au arusha

Mna chuki binafsi kisa ni mtu wa tanga kaaeni mtulie ngumi hamjui fuatilia pambano

Kaangalie la salim mtango kule nje TKO iliamuliwa vip
 
Back
Top Bottom