Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Mkuu kwanza unakosea sana kufananisha mpira wa miguu na ngumu.......... tofauti kabisa Al ahal hata akifungwa na ihefu bado atabaki bingwa wa Afrika lakini Mwakinyo akipigwa hata pambano lisilo na mkanda atapoteza mkanda

Kila bondia ana malengo yake ya kwenda juu
Mwakinyo sio kwamba anamdharau Kiduku kwa malengo yake na rekodi zake akipigana na akina Kiduku ana mengi ya KUPOTEZA kuliko KUPATA

Ni risk kubwa sana kuuweka mkanda wako rehani na kuaharibu rekodi yako kwa bondia uliyemuacha mbali sana kirekodi
Kwa namna yoyote ile Kiduku hana cha kupoteza zaidi ya kuongeza lakini Mwakinyo hana cha kuongeza zaidi ya kurisk

Ili kuja kuwa contender wa ubingwa wa dunia ni lazima uwe na rekodi ya kuwapiga mabondia wenye rank za juu........ndicho anachokilenga Mwakinyo kwa sasa na hata wakimpiga haita muathiri sana kama akitokea akapigwa na kiduku....... ngumu hazina adabu

Hata mimi natamani wapigane lakini malengo ya Mwakinyo ni zaidi ya matamanio yetu
Watapigana vip wakati wapo kwenye rank tofauti na uzito tofauti

Watakuwa wanapigana kutafuta nini au kushindania nini?

Wapigane eti kwa sababu ya kupata sifa?

Wabongo bwana.......

Hivi nyie mnazijua Sheria za mchezo wa box duniani?
 
Mtoa uzi na wanamsapot wote wshamba na asili yao watu wa kanda ya ziwa na moshi au arusha

Mna chuki binafsi kisa ni mtu wa tanga kaaeni mtulie ngumi hamjui fuatilia pambano

Kaangalie la salim mtango kule nje TKO iliamuliwa vip
Kwani mtoa maada kakosea wapi...?
Kaona alichoona kaja kuuliza kama n sahihi or la. We toa maoni yako wengine boxing hawaijui hvyo kupitia mchango wako watajifunza.
 
Mwakinyo alikuwa anapiga perpendicular na diagonal low cut hits, mpinzani wake alikuwa hana uwezo wa kurecover baada ya consecutive hits on a critical areas, inaitwa flawless victory🤣
🤣🤣🤣in kashasha voice
 
Ile inatwa technical knockout, sio lazima mtu aanguke kabisa. Mwamuzi akiona ngumu nyingi zinakufikia kichwani, zinakuhadaa na haujikingi vya kutosha wala kujibu mapigo basi anamaliza pambano. KO Vs TKO
Ngumu zipi zilimfikia kichwani sembuse mwilini?
 
Alichoniudhi refa wa jana maana yeye ndio kaharibu pambano alitakiwa avumilie kidogo tu yule jamaa angeongezwa ngumi chache angekwenda chini
 
We ni hater tunawahitaji wajinga Kama wewe ili Mwakinyo apate mzuka zaidi!

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mshale tu boss ndo umeelekea kusiko, alimaanisha uangalie hapo panaposema 2009 hadi 2020.

Kama unakubaliana na hilo bandiko, huoni huyu mdigo anafeli pakubwa sana? Yule mwingine alipewa a notice of 7days, lakini zaidi alikuwa ni wa uzito wa chini yake kwa mujibu wa wanahabari.

Huyu, kama ni kweli, nae aliacha ngumi 2020,sasa si upuuzi huu?
 
Mwakinyo asije akapigana na wabongo watakuja kumuua
Kwa wa bongo ni NO. Kiduku ni boya, kwa jinsi anavyopigana na Dulla Mbabe hawezi kusimama na HM.
Japo pambano limeieha kwa janja janja sa refa
 
Jamani boxing ina kanuni zake
Boxing ni BURUDANI na sio kuuana

Kama bondia anapigwa ngumu mfululizo bila majibu na amepoteza balance ni wajibu wa refarii kumaliza pambano, na sio kusubiri hadi bondia apate kipigo cha mbwa koko ndio amalize pambano hii sio vita

Maamuzi ya refa ni pamoja na kujaribu kuzuia maximum damage kwa bondia pindi anapokosa balance anaposhambuliwa

Waswahili walisemaga Nabii hakubaliki kwao.

Watu wanahoji ujinga mwingi sio kwasababu wameona kwa hakika refarii kampendelea Mwakinyo.......HAPANA

Wanahoji kwa sababu hawaamini kama Mtz annaweza kuwa bondia bora kwa level aliofikia Mwakinyo

Unapo angalia kitu kwa jicho la husuda, chuki, visasi hakika utaona kile tu unachokitaka........NEGATIVITY

Wengi wana muhukumu Mwakinyo kwa tambo zake lakini ukweli utabakia kuwa Mwakinyo ni BORA kwa alipofikia sasa, na sio kwasababu kabebwa au kaletewa bondia mchovu. .....UWEZO

Kuna watu wanachotaka wao ni Mwakinyo APIGWE TU ili wa mprove wrong kwasababu ya maneno yake ya tambo

Mkuu watoa maoni wengi hawajui ngumi. Kuna yule Dada boxer wa Mexican amefariki Kwa sababu alipigwa mnoo. Mbona hawasemi Tony angeachwa tu? Haya yote ni wivu tu. Anayejioma Mwakinyo ni mbovu, omba pambano nae
 
Ile ni TKO ndugu zangu.

Mtu akipigwa ngumi 5 bila kurudisha Referee au upande wake (kocha) wanaweza sitisha pambano.

Kumbuka pambano ya Wilder Vs Furry.
Referee wa Wlder ndio alisitisha pambano kwa kurusha kitaulo.

#YNWA
Akipiga au akirusha? Maana pale mwakinyo amerusha ngumi zaidi ya tano hajampiga mpinzani wake kwanini asimamishe pambano?
Kwako mwalimu rip kashasha
 
Jamani boxing ina kanuni zake
Boxing ni BURUDANI na sio kuuana

Kama bondia anapigwa ngumu mfululizo bila majibu na amepoteza balance ni wajibu wa refarii kumaliza pambano, na sio kusubiri hadi bondia apate kipigo cha mbwa koko ndio amalize pambano hii sio vita

Maamuzi ya refa ni pamoja na kujaribu kuzuia maximum damage kwa bondia pindi anapokosa balance anaposhambuliwa

Waswahili walisemaga Nabii hakubaliki kwao.

Watu wanahoji ujinga mwingi sio kwasababu wameona kwa hakika refarii kampendelea Mwakinyo.......HAPANA

Wanahoji kwa sababu hawaamini kama Mtz annaweza kuwa bondia bora kwa level aliofikia Mwakinyo

Unapo angalia kitu kwa jicho la husuda, chuki, visasi hakika utaona kile tu unachokitaka........NEGATIVITY

Wengi wana muhukumu Mwakinyo kwa tambo zake lakini ukweli utabakia kuwa Mwakinyo ni BORA kwa alipofikia sasa, na sio kwasababu kabebwa au kaletewa bondia mchovu. .....UWEZO

Kuna watu wanachotaka wao ni Mwakinyo APIGWE TU ili wa mprove wrong kwasababu ya maneno yake ya tambo
Umeeleza vizuri sana. Naunga mkono hoja yako.
 
Mtoa uzi na wanamsapot wote wshamba na asili yao watu wa kanda ya ziwa na moshi au arusha

Mna chuki binafsi kisa ni mtu wa tanga kaaeni mtulie ngumi hamjui fuatilia pambano

Kaangalie la salim mtango kule nje TKO iliamuliwa vip
Mwakinyo ni mwamba
 
Jamani boxing ina kanuni zake
Boxing ni BURUDANI na sio kuuana

Kama bondia anapigwa ngumu mfululizo bila majibu na amepoteza balance ni wajibu wa refarii kumaliza pambano, na sio kusubiri hadi bondia apate kipigo cha mbwa koko ndio amalize pambano hii sio vita

Maamuzi ya refa ni pamoja na kujaribu kuzuia maximum damage kwa bondia pindi anapokosa balance anaposhambuliwa

Waswahili walisemaga Nabii hakubaliki kwao.

Watu wanahoji ujinga mwingi sio kwasababu wameona kwa hakika refarii kampendelea Mwakinyo.......HAPANA

Wanahoji kwa sababu hawaamini kama Mtz annaweza kuwa bondia bora kwa level aliofikia Mwakinyo

Unapo angalia kitu kwa jicho la husuda, chuki, visasi hakika utaona kile tu unachokitaka........NEGATIVITY

Wengi wana muhukumu Mwakinyo kwa tambo zake lakini ukweli utabakia kuwa Mwakinyo ni BORA kwa alipofikia sasa, na sio kwasababu kabebwa au kaletewa bondia mchovu. .....UWEZO

Kuna watu wanachotaka wao ni Mwakinyo APIGWE TU ili wa mprove wrong kwasababu ya maneno yake ya tambo
Kama ni hivo kwanini huwa bench la ufundi inaonyesha taulo sometimes wakati refa yupo?
 
Back
Top Bottom