Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Hongera sana Mwakinyo kwa ushindi..msimamo wako endelea nao...wabongo roho mbaya tu..wew level yko ipo juu, uwez kucheza mchangani
 
Kama usemayo ni kweli ni vema Bondia wetu bora akapambana na twaha kiduku au na kidunda.
Simba na yanga kwa ukubwa zake lakini bado hucheza mechi na timu ndogo. Kwa mwakinyo anakataa kucheza pambano moja na hawa ndugu zake kwa ajili ya kuwapa uzoefu?
Anaogopa nini bingwa wetu?
Kuna jambo na siri gani mwakinyo anaificha nyuma ya mapambano na wageni anaowaalika?

Nampongeza kwa kushinda kwake pambano la jana usiku lkn pamoja na pongezi zangu ananiangusha kuogopa kucheza na watu wa nyumbani..

Katika pre season hii alhaly ya misri imecheza mechi nyingi na timu mpaka ya daraja la kwanza. Simba ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kutoka kigoma na kutolewa kwenye FA na bado simba na alhaly ni timu kubwa na zakuogopesha.
Mbona ameshasema anayetaka kupigana nae aende anapofanyia mazoezi, hawezi kupigana na mabondia hovyo hovyo eti anagombania toyota crown
 
Mwakinyo sasa hivi anazungukwa na timu kubwa ya matajiri,haya mapambano wanayanunua mapema kukuza brand..

Uwezo wake wa kupigana mdogo,unaweza kulitambua hilo hata kama wewe sio mtaalam wa ngumi

Haitakuja kutokea kukubali kupigana na Twaha...amalizi raundi 3
Twaha hayuko kwenye level za Mwakinyo jombaa! Nini mnashindwa kuelewa? Stori za vijiweni mnapotoshana sana.

Anyway Mwakinyo alitoa rai kwa bondia anayetaka kupambana nae amfuate kwenye mazoezi ajipime nae.
Mwambieni Twaha awashe crown aende kwa Mwakinyo
 
Jamani boxing ina kanuni zake
Boxing ni BURUDANI na sio kuuana

Kama bondia anapigwa ngumu mfululizo bila majibu na amepoteza balance ni wajibu wa refarii kumaliza pambano, na sio kusubiri hadi bondia apate kipigo cha mbwa koko ndio amalize pambano hii sio vita

Maamuzi ya refa ni pamoja na kujaribu kuzuia maximum damage kwa bondia pindi anapokosa balance anaposhambuliwa

Waswahili walisemaga Nabii hakubaliki kwao.

Watu wanahoji ujinga mwingi sio kwasababu wameona kwa hakika refarii kampendelea Mwakinyo.......HAPANA

Wanahoji kwa sababu hawaamini kama Mtz annaweza kuwa bondia bora kwa level aliofikia Mwakinyo

Unapo angalia kitu kwa jicho la husuda, chuki, visasi hakika utaona kile tu unachokitaka........NEGATIVITY

Wengi wana muhukumu Mwakinyo kwa tambo zake lakini ukweli utabakia kuwa Mwakinyo ni BORA kwa alipofikia sasa, na sio kwasababu kabebwa au kaletewa bondia mchovu. .....UWEZO

Kuna watu wanachotaka wao ni Mwakinyo APIGWE TU ili wa mprove wrong kwasababu ya maneno yake ya tambo
Kama ina kanuni kwanini mwakinyo hataki kupigana na kiduku?
 
Kama usemayo ni kweli ni vema Bondia wetu bora akapambana na twaha kiduku au na kidunda.
Simba na yanga kwa ukubwa zake lakini bado hucheza mechi na timu ndogo. Kwa mwakinyo anakataa kucheza pambano moja na hawa ndugu zake kwa ajili ya kuwapa uzoefu?
Anaogopa nini bingwa wetu?
Kuna jambo na siri gani mwakinyo anaificha nyuma ya mapambano na wageni anaowaalika?

Nampongeza kwa kushinda kwake pambano la jana usiku lkn pamoja na pongezi zangu ananiangusha kuogopa kucheza na watu wa nyumbani..

Katika pre season hii alhaly ya misri imecheza mechi nyingi na timu mpaka ya daraja la kwanza. Simba ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kutoka kigoma na kutolewa kwenye FA na bado simba na alhaly ni timu kubwa na zakuogopesha.
Kwa hiyo ngumi na zenyewe ni Dakika 90?
Ni ujinga kufananisha ngumi na football
 
Kama usemayo ni kweli ni vema Bondia wetu bora akapambana na twaha kiduku au na kidunda.
Simba na yanga kwa ukubwa zake lakini bado hucheza mechi na timu ndogo. Kwa mwakinyo anakataa kucheza pambano moja na hawa ndugu zake kwa ajili ya kuwapa uzoefu?
Anaogopa nini bingwa wetu?
Kuna jambo na siri gani mwakinyo anaificha nyuma ya mapambano na wageni anaowaalika?

Nampongeza kwa kushinda kwake pambano la jana usiku lkn pamoja na pongezi zangu ananiangusha kuogopa kucheza na watu wa nyumbani..

Katika pre season hii alhaly ya misri imecheza mechi nyingi na timu mpaka ya daraja la kwanza. Simba ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kutoka kigoma na kutolewa kwenye FA na bado simba na alhaly ni timu kubwa na zakuogopesha.

Ameshawaambia amepambania brand yake mda mrefu na ameijenga vyema pia hata uzito wao ni tofauti twaha ni bondia nyota 2 na mwakinyo ni bondia nyota 4 twaha kiduku atafute mapromota wamtafutie mapambano ya nje ya level za juu ashinde apande afikie angalau nyota 3 pia hata uzito wanaangalia twaha ana uzito mkubwa kuliko mwakinyo 75kg/65kg hamuoni yofauti ngumi ni biashara watanzania tujifunze kutengeneza brand tuache mapambano ya kihuni ya kugombania magari kuna hatari mwakinyo tunaweza tusimuone tena kwenye mapambano haya ya bongo akapata kampuni akaenda kupigana kwa pesa ndefu tuheshimu kazi za watu na brand ya mtu tuache wivu ukweli unauma
 
Mbona ameshasema anayetaka kupigana nae aende anapofanyia mazoezi, hawezi kupigana na mabondia hovyo hovyo eti anagombania toyota crown
Hili nalo neno. Kama ni kupigana kiduku aende kwenye dojo ya HM au amutukanie mzazi wake.

Tumechoka sasa na na Mapromota wa Kiduku.

Kama alikuwa anataka kupanda angeenda akakaza mk.nd kule Urusi
 
Kama usemayo ni kweli ni vema Bondia wetu bora akapambana na twaha kiduku au na kidunda.
Simba na yanga kwa ukubwa zake lakini bado hucheza mechi na timu ndogo. Kwa mwakinyo anakataa kucheza pambano moja na hawa ndugu zake kwa ajili ya kuwapa uzoefu?
Anaogopa nini bingwa wetu?
Kuna jambo na siri gani mwakinyo anaificha nyuma ya mapambano na wageni anaowaalika?

Nampongeza kwa kushinda kwake pambano la jana usiku lkn pamoja na pongezi zangu ananiangusha kuogopa kucheza na watu wa nyumbani..

Katika pre season hii alhaly ya misri imecheza mechi nyingi na timu mpaka ya daraja la kwanza. Simba ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kutoka kigoma na kutolewa kwenye FA na bado simba na alhaly ni timu kubwa na zakuogopesha.
Ni tofauti kabisa na mchezo huu, ukipigwa na alie chini yako unapotea, lakini pia kila pambano linalopangwa na Management yake kuna vitu wanazingatia sio pesa tu bali faida ya pambano katika kupiga hatua zaidi duniani, sasa hawezi kupigana na underground ili apate sifa na kumaliza ubishi wa wabongo [emoji2][emoji2]
 
Ni kweli kwamba kama pambano lile lingemalizika kwenye round ile , bila shaka Mwakinyo angeshinda kwa points , maana alipeleka ngumi nyingi za maana kwa mpinzani wake.

Lakini kilichonishangaza ni kitendo cha mwamuzi kumaliza pambano wakati bado Indongo yuko imara, hii kwa mnaojua ngumi mnadhani sababu ni nini hasa?
Ulitaka mpaka mtu afe pale ndyo refa amalize pambano acheni ushabiki maandazi Indongo kazidiwa anabaki kukumbatia tu
 
Mtoa uzi na wanamsapot wote wshamba na asili yao watu wa kanda ya ziwa na moshi au arusha

Mna chuki binafsi kisa ni mtu wa tanga kaaeni mtulie ngumi hamjui fuatilia pambano

Kaangalie la salim mtango kule nje TKO iliamuliwa vip
Hawajui ndondi hao! au sijui walitaka Indonga auwawe ndio waamini kapigwa kihalali
 
Nlikua najiuliza hivi kwa Nini tz hatuendelei ktk nyanja zote Kama mataifa mengine ila Sasa tayari nishapata majibu hapahapa,nawashukuru comrades...
 
Watapigana vip wakati wapo kwenye rank tofauti na uzito tofauti

Watakuwa wanapigana kutafuta nini au kushindania nini?

Wapigane eti kwa sababu ya kupata sifa?

Wabongo bwana.......

Hivi nyie mnazijua Sheria za mchezo wa box duniani?

Unajua kama wapo mabondia waliopigana na Kiduku na Mwakinyo?

Kupandisha au kushusha uzito inawezekana SANA tu

Isipokua hoja ni kwamba Mwakinyo kwenye malengo yake ili yatimie hana muda wa kuanza kupigana na akina Kiduku

Kama wakina kiduku wanataka kweli kupigana na Mwakinyo wapandishe cv zao
 
Back
Top Bottom