Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

Watanzania kwa ujuaji ni kiboko yaani we hata kiingereza hujui unajifanya unajua nyie ndio mnapotosha watu mitaani kwa ujuaji wenu.

Hiyo debut haimaanishi pambano lake la mwisho Bali pambano lake la kwanza alicheza 2009 punguani wewe
[emoji23][emoji1787]
 
Jamani boxing ina kanuni zake
Boxing ni BURUDANI na sio kuuana

Kama bondia anapigwa ngumu mfululizo bila majibu na amepoteza balance ni wajibu wa refarii kumaliza pambano, na sio kusubiri hadi bondia apate kipigo cha mbwa koko ndio amalize pambano hii sio vita

Maamuzi ya refa ni pamoja na kujaribu kuzuia maximum damage kwa bondia pindi anapokosa balance anaposhambuliwa

Waswahili walisemaga Nabii hakubaliki kwao.

Watu wanahoji ujinga mwingi sio kwasababu wameona kwa hakika refarii kampendelea Mwakinyo.......HAPANA

Wanahoji kwa sababu hawaamini kama Mtz annaweza kuwa bondia bora kwa level aliofikia Mwakinyo

Unapo angalia kitu kwa jicho la husuda, chuki, visasi hakika utaona kile tu unachokitaka........NEGATIVITY

Wengi wana muhukumu Mwakinyo kwa tambo zake lakini ukweli utabakia kuwa Mwakinyo ni BORA kwa alipofikia sasa, na sio kwasababu kabebwa au kaletewa bondia mchovu. .....UWEZO

Kuna watu wanachotaka wao ni Mwakinyo APIGWE TU ili wa mprove wrong kwasababu ya maneno yake ya tambo
Kwa hii comment umefunga mjadala
 
Back
Top Bottom