Hivi mwanamuziki Senzo yu hai au alishafariki?

Hivi mwanamuziki Senzo yu hai au alishafariki?

Hahahahah...anasapua?hahaha...analamba mamikono yote na kubeua hovyohovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Tangu nakaa nae ghetto sengerema

Mshikaji alkua komba mboga sana

Na siri nyingi sana za huyu jamaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Usicheke sana utapaliwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]..nikitulia nitkufaham tu...lol...unamfahamu ticha Kihitula?au madembwe[emoji847]
Madembwe alihamia swilla huyo ni mwalimu wa chemistry i think so
Definitely if am not wrong

Haf it is so hard to know me hata usihangaike
 
Senzo inasemekana alikuwa kwenye bendi ya lucky dube but. Aliachana na lucky dube na kuanza kuimba raggae ktk mwaka ule alimzidi lucky dube Kwa mauxo ya album zake katika raggae. Watu wanadai aligongwa na gari ya luck dube. Kwahiyo inasemekana aliuawa na lucky dube
Habari wadau, mie ni mshabiki muziki wa reggae,huyu mwanamuziki sifahamu taarifa zake mwenye uelewa nazo anijuze tafadhari.
 
Ni kweli Ila inasemekana kifo chake gari ilimgonga Ila inasemekana ilikuwa gari ya lucky dube. Jamaa senzo alivyojitenga na kuanza kuimba raggae mwaka ule kazi zake ziliongoza Kwa mauxo ya mziki wa raggae. Bifu ikawepo Kati yake na lucky dube.
Mkuu ni zaidi ya miaka mitano, Senzo aliuawa kabla ya Lucky Dube aliyeuawa zaidi ya miaka kumi iliyopita, kama sijakosea Senzo aliuawa miaka ya 1990s mwishoni
 
Back
Top Bottom