EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Sijajua[emoji851]Ila si tunda anapata Lile lile mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua[emoji851]Ila si tunda anapata Lile lile mkuu?
Huyu sasa since kitambo hajawahi nipandishia sauti au ananizuga tu anasubiri aolewe?😂😂Binadamu tumeumbiwa kiwaheshimu wakubwa, mke akikuzidi umri hatakubali kua chini yako, na yeye ndio atakua na last say katika nyumba.
Utaburuzwa kama huna mkwanja.Safi sana, hata mimi mke wangu nimemzidi miaka 10. Mwanamke akikuzidi umri atakuburuza bila mwenyewe kujua
Basi wewe mshukiru Mungu.Huyu sasa since kitambo hajawahi nipandishia sauti au ananizuga tu anasubiri aolewe?😂😂
Kumbe kikubwa Mkwanja tu ✌✌Utaburuzwa kama huna mkwanja.
Mwanamke akifikisha 40 hapo nyege ndipo zinamzidi, sasa unapoambia utapigiwa, ujue hilo maana 51 kama utakuwa na afya mbovu mbovu lazima upigiwe. Kumbuka dawa ya kumtuliza mwanamke ni kumpelekea moto sawa sawa tofauti na hapo ni shidaHahahahahahaha mkipishana kidogo mathalan 5yrs then akianza kuzaa hapa utamkuta mwili hauna ushirikiano kabisa// fikiria yeye atakapokuwa na 40 na me nina 51 kuna shida gani haaaaahaaahaa.Big up sana mkuu
Basi sawa.... kwahiyo unataka kumuoa?Mkuu na sio kwamba nimeanza nae leo miaka hio ya Utotoni dadek tulika majirani
Hii imekaa kitaalamu sana na according kwa Experience naona😂😂Mwanamke akifikisha 40 hapo nyege ndipo zimamzidi, sasa unapoambia tutapigiwa, ujue hilo maana 51 kama utakuwa na afya mvivu mvivu lazima upigiwe. Kumbuka dawa ya kumtuliza mwanamke ni kumpelekea moto sawa sawa tofauti na hapo ni shida
Ndio hivyoKumbe kikubwa Mkwanja tu ✌✌
Enheeew nikisema nipo serious namaanisha kula Majimama ya Kujiuza nishachoka Dadek siku hizi Bao moja 15000 hapa FREE STRESS ZONE Arusha!!Basi sawa.... kwahiyo unataka kumuoa?
Best even though unakuta mwanamke ana 60 mwanaume ana 40. Mama wa mume ana 62.Age is just a number. If you’re happy and you know it weye JIRUSHE TU!!! 😜
Best even though unakuta mwanamke ana 60 mwanaume ana 40. Mana www mume ana 62.
I have made some corrections bestCome again please!!! Especially the last sentence.
Best even though unakuta mwanamke ana 60 mwanaume ana 40. Mama wa mume ana 62.
Na unakuta kijana anakwambia hajawahi kuwa na furaha maishani kama anayopewa na mama yakeHahahahahaha ananyandua rika la mama yake.
Inapendeza kwa kina nani?Mwanamke kumzidi mwanaume umri, huko ni kuchunguliwa na mtoto....
Inapendeza mwanaume awe mkubwa tena 5+
Kwahio huyu Nimuache Anarika la Mama yangu?😂😂 coz tofauti ni miaka 4+Na unakuta kijana anakwambia hajawahi kuwa na furaha maishani kama anayopewa na mama yake
Kwa wenye mahusiano (wahusika)Inapendeza kwa kina nani?
Mmh hatupangiani maisha bwana lakini what if mama yako apate heart attack siku ya kumuona mke wa mwanae!Kwahio huyu Nimuache Anarika la Mama yangu?😂😂 coz tofauti ni miaka 4+
Halaf nae ni mtoto wa Mtu anahitaji kupendwa na kizuri zaidi nimeanza kumunyandua kipind hichooo bado nikiwa chalii kabisa