Mama angu mkubwa zaid anaweza mzaa hata huyu sema huyu anaweza lingana na Mama zangu wadogo tu.Mmh hatupangiani maisha bwana lakini what if mama yako apate heart attack siku ya kumuona mke wa anamzidi hata Huyu mwanamke miaka sana tu anaweza mzaa na yeye pia
Asante Studio #Yote yapo🙌Jiulize kwanza aya
👉Moyo wako umeridhika kuwa nae?
👉Unafuraha kuwa nae? Ana furahia kuwa na wewe?
👉Anatimiza majukumu yake ipasavyo(ya kama mke na kama mama wa familia)?
👉Ana kuheshimu na ww una mheshim?
Kama majibu ni ndio bas Umri sio kigezo cha kuwatenganisha.View attachment 1986695
Ameshazaa?Mama angu mkubwa zaid anaweza mzaa hata huyu sema huyu anaweza lingana na Mama zangu wadogo tu.
Wahusika ilishawapendeza ndo maana wakatongozana mpaka kuifikiria ndoa.Kwa wenye mahusiano (wahusika)
Hajazaaa bado Mbichi kabisa huyu kama Nandy tu😂😂Ameshazaa?
Mama yake si ana mumewe? MaHeart attach ya nini?Mmh hatupangiani maisha bwana lakini what if mama yako apate heart attack siku ya kumuona mke wa mwanae!
Wanawake huwa wanazeeka mapema, ndiyo maana unakuta baba alioa akiwa 30 na mama aliolewa akiwa 22 lakini baba akifika 50 wote wanaonekana umri sawa.Hajazaaa bado Mbichi kabisa huyu kama Nandy tu😂😂
We oa kama ushampima ukaona ni mtu sahihi.Hajazaaa bado Mbichi kabisa huyu kama Nandy tu😂😂
Mimi ningekua bibi harusi ningeomba padri abarikie ndoa nyumbaniWe oa kama ushampima ukaona ni mtu sahihi.
Mkishindwana vunja ndoa. Hata ndoa za waliolingana umri au ambazo mwanaume ni mkubwa kiumri zinavunjika tu wanandoa wanaposhindwana.
HAKUNA JIPYA HUMU DUNIANI. FURAHIA MAISHA.
Hela nitatafuta asizeeke hilo nakuhakikishia 😂😂..half mbona SHAKIRA Kamzid Pique miaka 10 haonekani mzee anakula utamu tu Daily mwambaWanawake huwa wanazeeka mapema, ndiyo maana unakuta baba alioa akiwa 30 na mama aliolewa akiwa 22 lakini baba akifika 50 wote wanaonekana umri sawa.
Sasa huyu mkwe wetu akifikia menopause na miguu kuanza kusumbua ujiandae kumshika mkono kwenda msalani.
Bas sawa uwamuz ni wako.Asante Studio #Yote yapo🙌
Sawa kijana umenogewa na mapenzi ya aunty yako.Hela nitatafuta asizeeke hilo nakuhakikishia 😂😂..half mbona SHAKIRA Kamzid Pique miaka 10 haonekani mzee anakula utamu tu Daily mwamba
😂😂😂🙌🙌Sawa kijana umenogewa na mapenzi ya aunty yako.
Na mama yake na Shamte😂😂😂🙌🙌
#Diamond mbona hamkuponda jamani kwa Zari?
Na Kadi utapata ili ufike hapa A Town #Point Zone 😂Ila bana haya mambo ya umri hapana..aah Mimi hapana Yani mwanaume nikupite umri..aahh
Kila la kheri mkuu
Kwa ww mkristo ndoa ni kanisani. Sherehe ni popote.Mimi ningekua bibi harusi ningeomba padri abarikie ndoa nyumbani
Angeoa bila kuuliza, hadi kaja kuuliza bado haijampendeza yupo 50/50Wahusika ilishawapendeza ndo maana wakatongozana mpaka kuifikiria ndoa.