Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Ukiwa na hela huwezi pondwa utaambiwa mnaendana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
#Diamond mbona hamkuponda jamani kwa Zari?
Ukiwa kajamba nani utaambiwa acha kuoa wazee .
Pesa pesa kuna utulivu ,heshima, na kujaliana
Pesa umasikini kuna fitna ,majungu,uchawi ,visirani,unoko, unaa,na kedekede[emoji1787]