Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

Aisee! Ni hatari ila Nimepata mwanga.
 
Nimemkumbuka huyu mwandishi wa habari wa zamani ITV siku hizi simuoni jamani mwenyewe information zake au alishastaafu?
Jasho la Mtu huwa haliendi bure hasa pale ukiamua Kundhulumu chake na kitakachofuata ni Wewe Kulaanika, Kutaabika na Kuathirika Kisaikolojia ambako kutakupelekea Ufanisi wako wa Kiutendaji kufungua, Kudhoofika, Kukosa Amani na Kumsubiria tu Israeli Mtoa Roho afanye yake Kwako na ukakutane mbele ya Safari ( Mavumbini ) na yule Uliyemdhulumu kwa Kushirikiana na ama Ndugu au Wazazi au Mzazi. Karma haiepukiki kwa Wanadamu Makatili na Wadhulumati.
 
Ni bora hata nayeye angekufa halafu maza ake apone ili ajutie kitu alicho fanya kimegharim maisha ya mwanae. Nimbaya sana kushiriki dhambi na motto wako ni laana.
 
Mwanamke alikuwa sawa kabisa, mwanaume ndio alikuwa fala pro-max, unawekezaje kwa mwanamke ambaye hujamuoa?!
Moja kati ya soldier mpuuzi alikuwa yule, nilimpa kongole Ufoo Saro always mwanamke akikutana na mwanaume fala lazima amuache kwenye mataa.
 
Alifanya vibaya ata ingekuwa mimi ningemtifua yaani nikupe hela za kujenga uende ukafanye kinyume na maagizo yangu.Tamaa mbaya ona sasa hadi mzazi wake akafa.
 
Mwanamke alikuwa sawa kabisa, mwanaume ndio alikuwa fala pro-max, unawekezaje kwa mwanamke ambaye hujamuoa?!
Moja kati ya soldier mpuuzi alikuwa yule, nilimpa kongole Ufoo Saro always mwanamke akikutana na mwanaume fala lazima amuache kwenye mataa.
[emoji706]
 
Dah! Kweli aisee. Watu tumemmisi sana. Binti wa kimachame alitrend sana mitandaoni kipindi kile alipokoswakoswa kutolewa roho na bwana Mushi. Yule mwamba alidhamiria kuua Ufoo Saro, Mama yake Ufoo Saro na yeye mwenyewe. Mungu akamuokoa Ufoo Saro.
Dah! Lile tukio lilisababisha mshtuko mkubwa sana kwenye jamii. Na baada ya pale, hakuwahi kusikika/kuonekana tena hadharani dada wa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…