Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

Mwanamke alikuwa sawa kabisa, mwanaume ndio alikuwa fala pro-max, unawekezaje kwa mwanamke ambaye hujamuoa?!
Moja kati ya soldier mpuuzi alikuwa yule, nilimpa kongole Ufoo Saro always mwanamke akikutana na mwanaume fala lazima amuache kwenye mataa.

Usiseme hivyo, huwezi jua makubaliano yao yalikuwaje. Halafu kwanini umtapeli mtu anayekupa pesa.
 
Aliua na akati yeye ndo alikoswa koswa kuuawa baada ya kupigwa shaba tumboni na mama ake alikufa na muuaji akajiua...ufooo kama nakumbuka alipona akareport report muda mchache ITV afu akapotea hadi leo

Nadhani ITV walishauri akae pembeni kutokana na like tukio, maana lingeweza kupunguza ushawishi wa ITV au kuongeza chuki kwenye jamii
 
Kuna jamaa wanajisifia kuoa wachaga kuwa wao Ni wajanja , waambie waishi na ndugu zao Kama mmoja wawili ama watatu ndio watajua Kilimanjaro sio pa kuoa.
Kuna yule wa dumila alimkodia mwanaume majambazi wakammalize ,mbaba mmoja ivi mkikuyu, matukio Ni mengi ngoja uzeeke na uchukue pension ama iwe inakaribia kutoka ndipo utajua Kama hujui.
Sasa akikutumia majambazi akakuua hela atazifaidi vipi wakati kashazeeka? Wrong timing! Asikudanganye mtu, hela inanoga ujanani.
 
Usiseme hivyo, huwezi jua makubaliano yao yalikuwaje. Halafu kwanini umtapeli mtu anayekupa pesa.
Mwanamke ni kiumbe kinachobadilika anytime tena soldiers husisitiziwa kuhusu kutokumuamini mtu kirahisi.

Mwanamke hujamuoa unampa majukumu ya kimke alishindwa kufikiria nje ya boksi?!, siku zote katika maisha mwanaume lazima uwe hatua mbili mbele kifikra, kimaono na kimaamuzi mbele ya mwanamke, unamtumia millions of shillings za ujenzi mwanamke hujaoa are you serious?

Umempa hela za ujenzi fine why you didn't set backup awe anachunguza kama ujenzi unafanyika au laah!pasipo mwanamke kujua una ndugu, marafiki na jamaa alishindwa kuwapigia fulani hela hiyo nenda sehemu fulani kuna site yangu kaangalie uone kuna lolote linaendelea maana mafundi wanazingua huku akiwa hafahamu kama unamtumia mpenzi wake kuendeleza ujenzi, alishindwa kutumia mbinu za kimedani kupata taarifa za ziada, ndio maana alijiua alijiona mpuuzi kazidiwa akili.

Soldier alikuwa mwanaume ila hakuwa na maono ya kiume possibly mapenzi yalimkolea ukubwani.
 
Mwanamke ni kiumbe kinachobadilika anytime tena soldiers husisitiziwa kuhusu kutokumuamini mtu kirahisi.

Mwanamke hujamuoa unampa majukumu ya kimke alishindwa kufikiria nje ya boksi?!, siku zote katika maisha mwanaume lazima uwe hatua mbili mbele kifikra, kimaono na kimaamuzi mbele ya mwanamke, unamtumia millions of shillings za ujenzi mwanamke hujaoa are you serious?

Umempa hela za ujenzi fine why you didn't set backup awe anachunguza kama ujenzi unafanyika au laah!pasipo mwanamke kujua una ndugu, marafiki na jamaa alishindwa kuwapigia fulani hela hiyo nenda sehemu fulani kuna site yangu kaangalie uone kuna lolote linaendelea maana mafundi wanazingua huku akiwa hafahamu kama unamtumia mpenzi wake kuendeleza ujenzi, alishindwa kutumia mbinu za kimedani kupata taarifa za ziada, ndio maana alijiua alijiona mpuuzi kazidiwa akili.

Soldier alikuwa mwanaume ila hakuwa na maono ya kiume possibly mapenzi yalimkolea ukubwani.
sidhani kama kuoa inazuia jambo kama hili
 
Back
Top Bottom