Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Hakuwahi kufungwa, hajamuua mtu, aliyekuwa mzazi mwenza ndio aliua mama mkwe na kisha akajiua.Kwani huyu yupo huru, si alifungwa baada ya kuua? Mademu wa Kichagga sijuwi ni nani aliyewaroga kuwa matapeli wa mapenzi?