Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

Kwani huyu yupo huru, si alifungwa baada ya kuua? Mademu wa Kichagga sijuwi ni nani aliyewaroga kuwa matapeli wa mapenzi?
Hakuwahi kufungwa, hajamuua mtu, aliyekuwa mzazi mwenza ndio aliua mama mkwe na kisha akajiua.
 
Kwahiyo Ufoo Bado anaishi Msumi kwenye hiyo nyumba
Sifahamu maana toka litokee janga sijawasiliana naye maana hata namba alibadilisha. Mara ya mwisho nilikutana naye Arusha akiwa bado hata hajapona vizuri jeraha la risasi
 

Mkikuyu na Mchaga mbona hiyo ilikuwa hatari
 
Sijui nani alisababisha kifo cha mama yake na mumewe,sijui kati yake na mumewe. Au mumewe alihadithiwa tu na wenye wivu wa mtaani?.

Anyway,atakuwa anaendeleza kumlea yule mwanae ndyo maana haonekani runingani since those days.
Tamaa za Mali zilimponza
 
Umenena sahihi kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…