Hivi na nyie wapenzi wenu wana wivu kama huyu wangu?

Hivi na nyie wapenzi wenu wana wivu kama huyu wangu?

Wivu unakaribia kunitenganisha na wa ubani sema mimi kwa ndugu zake hapana. Ni kwa wanaojitongozesha kwake to directly others indirect.



Smart911
 
Ukipata asie na wivu kabisa ndo utajua unamiss nini. Pata tu mtu ambae he/she doesn't give a shit kwa chochote unachofanya.
 
Ongeza kasi ya kumfanya aone wivu halafu atachoka mwenyewe.
 
Watu wengine sijui mapenzi wamejifunzia ukubwani!

Yani hivi kwa akili ya kawaida unaweza kunilinda mimi mtu mzima tena tuliyekutana ukubwani wote tukiwa na meno 32 mdomoni?

Jamani hivi na nyie wenzangu mnadate na watu yenye wivu wa kiporipori kama huyu wangu? Asione simu imepigwa atanikodolea macho mpaka nimalize kuongea halafu ndio aniulize eti nilikua naongea na nani.

Mtu ana wivu mpaka kwa ndugu zangu yaani. Asione nimeongozana njiani na mtu wa jinsia tofauti, atajinunisha mpaka basi.

Wenzangu mnawezaje kuishi na watu wa namna hii?
UTAJIJUA SI UMEMPENDA MWENYEWE.....DADEKI
 
Kama amekuchosha achana nae akatafute mwenye mwelekeo kama wake na wewe tafuta kicheche mwenzio
 
Wivu wa wastani ni mzuri kwenye mahaba, tatizo linakuja kwenye wivu wa kupitiliza (Morbid jealous). Wivu uliopitiliza huwa unaua mahaba na wakati mwingine huua hata binadamu.
 
Niliwahi kudate na mdada mmoja,ila nilishindwana nae kwa wivu aise,yani mpaka job alikua anakuja,ata nikimwambia nasafiri yupo tayari kuomba likizo ya muda ili twende wote,nilikua na mazoea na dada mmoja hivi jilani,basi akajua namla,ikabidi amuhamishe pale jilani na akamnunulia simu nyingine na akambadilishia laini ili asinitafute,cha ajabu nikawa nakosa raha maana ata marafiki zangu wakanikimbia maana wakitaka tutoke anajua tunaenda kupiga "ngozi" .mwisho wa siku nikaamua kujitoa jela,nikamwambia mama baki na pesa zako mie siwezi utumwa huu!!
 
Back
Top Bottom