Pre GE2025 Hivi nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni Wenje tu aliyechukua fomu na hakuna mwingine? Hii hatari

Pre GE2025 Hivi nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni Wenje tu aliyechukua fomu na hakuna mwingine? Hii hatari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi kwa mawazo yangu huyu wenje ni pandikizi la Mbowe tuombe mtu mwingine achukue fomu kama Heche kwa nafasi hiyo mbona kimya.

Nawatakia Krismas njema

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Tundu Lissu aliulizwa swali hili kama akishinda Uenyekiti halafu Wenje akashinda Umakamu itakuwaje?

Akajibu kwa ukweli na uwazi in the quintessence Tundu Lissu way, kwamba itakuwa disaster. Alitumia neno hilo, disaster.

Akasema watu washawishi viongozi wanaofaa kugombea nafasi hiyo.

Nikajiuliza sana, kama yeye hajashawishi mtu anayeona anaweza kufanya kazi naye, hilo litakuwa jambo la hatari sana na kwa kweli itakuwa lack of judgement on his part.

Tundu Lissu hatakiwi kujipanga kwenye kushinda uenyekiti tu, anatakiwa kuwa na mtu kama mgombea mwenza kwenye umakamu, mtu anayeweza kufanya naye kazi vizuri.

Vinginevyo Tundu Lissu anaweza kushinda uenyekiti, halafu tukaenda kuona disaster anayoisema kwa sababu makamu ni Wenje.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti na akishindwa kuwa na makamu anayeweza kufanya naye kazi vizuri itakuwa ni mistake kubwa sana.
 
H
Tundu Lissu aliulizwa swali hili kama akishinda Uenyekiti halafu Wenje akashinda Umakamu itakuwaje?

Akajibu kwa ukweli na uwazi in the quintessence Tundu Lissu way, kwamba itakuwa disaster. Alitumia neno hilo, disaster.

Akasema watu washawishi viongozi wanaofaa kugombea nafasi hiyo.

Nikajiuliza sana, kama yeye hajashawishi mtu anayeona anaweza kufanya kazi naye, hilo litakuwa jambo la hatari sana na kwa kweli itakuwa lack of judgement on his part.

Tundu Lissu hatakiwi kujipanga kwenye kushinda uenyekiti tu, anatakiwa kuwa na mtu kama mgombea mwenza kwenye umakamu, mtu anayeweza kufanya naye kazi vizuri.

Vinginevyo Tundu Lissu anaweza kushinda uenyekiti, halafu tukaenda kuona disaster anayoisema kwa sababu makamu ni Wenje.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti na akishindwa kuwa na makamu anayeweza kufanya naye kazi vizuri itakuwa ni mistake kubwa sana.
Hilo sio kosa la lissu, wanachadema wanaokipenda chama Chao wachukue fomu ya kuomba fomu ya makamu mwenyekiti
 
H

Hilo sio kosa la lissu, wanachadema wanaokipenda chama Chao wachukue fomu ya kuomba fomu ya makamu mwenyekiti
Litakuwa ni kosa strategic la Lissu kama yeye anataka kugombea uenyekiti halafu hajajipanga kuweka ama kunu endorse mtu anayeweza kufanya naye kazi vizuri kugombea umakamu.

Itakuwa kama anaachia vitu viende kwa kudra na bahati sehemu ambayo anaweza kupanga mambo yaende anavyotaka yeye.
 
Wanasiasa wote ni wala rushwa na wachumia tumbo. Sisiemu na wapinzani wao wote wako sawa
Hata wewe ukipata pesa utakataa?
Mnajifanya wasafi kumbe wachafu mnatembea na mavi tumbon pumbavu kabsaa

Chukua chako mapema
Pita hivi unawatetea watu wasiojitambua
Huko ni kupoteza muda
 
Kweli. Angekuwa amejipanga tungeliona mgombea Umakamu akiwa na msimamo kama wake au wa kambi yake. Ebu chukulia ashinde Lissu na Wenje Umakamu. Hapo kitakuwa na chama kweli? Inawezekana Mbowe hamtaki Lissu ndio maana Wenje kagombea Umakamu wamuondoe Mropokaji kwenye uongozi.
Mropokaj atatema bungo tuu
Aende chauma
 
Litakuwa ni kosa strategic la Lissu kama yeye anataka kugombea uenyekiti halafu hajajipanga kuweka ama kunu endorse mtu anayeweza kufanya naye kazi vizuri kugombea umakamu.

Itakuwa kama anaachia vitu viende kwa kudra na bahati sehemu ambayo anaweza kupanga mambo yaende anavyotaka yeye.
Bahati nzur washamstukia anataka kuzamisha chama
Aende chauma tuu
 
Back
Top Bottom