Pre GE2025 Hivi nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni Wenje tu aliyechukua fomu na hakuna mwingine? Hii hatari

Pre GE2025 Hivi nafasi ya Makamu Mwenyekiti ni Wenje tu aliyechukua fomu na hakuna mwingine? Hii hatari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Itakuwa ni uzembe kumuachia Wenje peke yake.

Inawezekana labda other potential candidates wanavizia Ubunge come 2025 ili kujihakikisha mshahara wa uhakika kwa kuwa Makamu wa Mwenyekiti ndani ya Chama hana say kwenye mambo nyeti na huenda hata salary yake ni ya mashaka

Hiki chama kinapaswa kujitafakari na uongozi mpya unaweza kuwa na pa kuanzia kwa kuibomoa status quo.
 
CCM bhana waliimba ngonjera kibao humu kwamba Mbowe hafuati Demokrasia baada ya kuwa Mwenyekiti for over 21yrs. Kwa kuogopa msimamo wa Lissu sasa naona wamekuwa wapiga debe wa Mbowe na Vibaraka wake. Simply anaweza kuhongeka na fedha za Abdul. Disgusting
Wewe hupendi pesa??
Kuwapigania watu wasiojitambua ni kupoteza muda
Mbowe aliitisha maandamano hakuna aliyejitokeza isipokuwa mwanae

Kwenye siasa zinatafutwa pesa
Unapewa pesa hutaki? Utakuwa kichaa
Slaa alipewa pesa na ubaloz akasepa Sweden
Endeleen kupiga kelele
 
Chawa mwenye faida
Waambien sisiem watoke madarakan
Sio kutupigia kelele
Nenden chauma
Vyama vipo vingi tuu
Mbona sasa CCM na TISS ndiyo wanampigania Mbowe aendelee na usultani wake hilo nalo linahitaji elimu kubwa kubaini kuwa ndiyo mwisho wa Chadema kuwa chama kikuu cha upinzani?
 
Mbona sasa CCM na TISS ndiyo wanampigania Mbowe aendelee na usultani wake hilo nalo linahitaji elimu kubwa kubaini kuwa ndiyo mwisho wa Chadema kuwa chama kikuu cha upinzani?
Kaka fanya kazi achana na siasa ni utopolo acha kife
Chukua chako mapema
 
Hapana sijamjua ndiyo maana nikakuuliza.

Nani anataka kuzamisha chama? Unaogopa kumtaja?
Kaka eeh fanya kazi achana na siasa ni utopolo acha chama kife
Wewe hupendi pesa?
 
Kaka eeh fanya kazi achana na siasa ni utopolo acha chama kife
Wewe hupendi pesa?
Siasa umeanzisha wewe nikikubana ufafanue unakwepa kwa kusema nifanye kazi niache siasa?

Unajua hata siasa ni kazi wewe?

Nani anataka kuzamisha chama? Unaogopa kumtaja?
 
Back
Top Bottom