Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Hahaha kuishi na Hawa viumbe yataka kuwaelewa kweli kweli na kuwachukulia nadhani hakuna ubaya juu ya Hilo swali ingawaje Kuna saa linaboa hasa pale unapotaka kuona ubunifu wake.mi siyo Hilo tu kila asubuhi ananiuliza Leo nivae Nguo gani,nagundua nikimwambia vaa hiki na kile anafurahi na kujiamini Sana hata Kama nikimchagulia famba😂
Yah kumu advise avaeje ni muhimu and she feel cherished. Mi huwa nainjoy sana pia kumsimamia mavazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mimi mume wangu katika hili lazima tukubaliane mapema kabisa .. lazima ale nyumbani, tena tunamsubiri muda wa kula awepo..
Kama atatoka baada ya kula ni sawa ila muda wa kula ajiandae tu kurudi nyumbani .
Hahahah ukiwa smart tutakula wote, sio chakula kinaliwa saa 4 usiku, lunch saa 10 jioni 😁😁😁!
Nyumba lazma iwe na ratiba nyoofu. Chai saa 2, lunch saa 6/7 cha jioni saa 1 kiwe tayar by saa 2 watu washakula.
 
Hahahah ukiwa smart tutakula wote, sio chakula kinaliwa saa 4 usiku, lunch saa 10 jioni [emoji16][emoji16][emoji16]!
Nyumba lazma iwe na ratiba nyoofu. Chai saa 2, lunch saa 6/7 cha jioni saa 1 kiwe tayar by saa 2 watu washakula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mtu azunguke awezavyo ila usiku ahakikishe anarudi kula nyumbani.
Bila hivyo hatutaelewana[emoji1787]
 
Pia kautafiti nilikafanya,wamama Wa nyumbani huwa wanajilipa na ile Kodi ya meza unayoacha asubuhi,kwa hyo anaibana ili apige cha juu.

Anakuuliza kukufanyia timing ili usimbane ametumiaje hyo hela,has a kama wewe ni mzee mnoko,utasikia sisi tunakuwazia wewe sisi tuko sawa we utajibu simple 2 pikeni mnachotaka nyie,basi their favorite food ni chakula cha serikali wali ndondo bei rahisi,anachukua Mchele vikombe viwili na maharage kikombe kimoko toka kwenye ile stock ulinunua pale nzega wakati unatoka kwenye semina mwanza.
Ndo ushapigwa hivyo,hakunaga huduma ya bure mkuu hata kama ulilipa mahari kwao.
Hahahah ukigundua hilo unamsema tu lakini. Asitese watoto kwa tamaa zake za kubana hela ya kula 😂😂😂 akitaka aombe umpe za kwake...Unamtishia tishia kidogo
 
Hahahah ukigundua hilo unamsema tu lakini. Asitese watoto kwa tamaa zake za kubana hela ya kula 😂😂😂 akitaka aombe umpe za kwake...Unamtishia tishia kidogo
Sasa mkuu umewekeza uchagani,hapo kwenye ndoa yeye kwake ni ajira.
Yeye siku anaolewa kwenye siku ya send off mamake anamwambia ukifika huko usitusahau na kanyumba mwanetu.
 
Sasa mkuu umewekeza uchagani,hapo kwenye ndoa yeye kwake ni ajira.
Yeye siku anaolewa kwenye siku ya send off mamake anamwambia ukifika huko usitusahau na kanyumba mwanetu.
Hahahah kwahio yupo kiuwekezaji zaidi 😁😁😁
 
Kula na wanao tu maana huku nje mishkaki choma na bia ilivyo mitamu. Haielezeki!!!
Sema wanaume tuna upendo sana na familia,utakula nyama huko ila kale kamwisho kanakobaki utamwambia mchoma nyama nifungie kwenye foil unaenda nako home.
 
Sema wanaume tuna upendo sana na familia,utakula nyama huko ila kale kamwisho kanakobaki utamwambia mchoma nyama nifungie kwenye foil unaenda nako home.
Yah lazma upelekee ma home boy wako pale Ikulu 😁
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mtu azunguke awezavyo ila usiku ahakikishe anarudi kula nyumbani.
Bila hivyo hatutaelewana[emoji1787]
Uhakikishe umepika kwa wakati pia, sio mambo ya kurudi ndio tunaanza ulizana bebi tunakula nini😂 ntakuwa nikija nimeshiba
 
Uhakikishe umepika kwa wakati pia, sio mambo ya kurudi ndio tunaanza ulizana bebi tunakula nini😂 ntakuwa nikija nimeshiba
Ukifika umeshakula ,unanuniwa au unaambiwa umekula kwa michepuko ...
Hizi ndoa hizi Watu watutizame Tuu tukiwa huko mbele ya jamii Tunavyopendana...😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom