Pia kautafiti nilikafanya,wamama Wa nyumbani huwa wanajilipa na ile Kodi ya meza unayoacha asubuhi,kwa hyo anaibana ili apige cha juu.
Anakuuliza kukufanyia timing ili usimbane ametumiaje hyo hela,has a kama wewe ni mzee mnoko,utasikia sisi tunakuwazia wewe sisi tuko sawa we utajibu simple 2 pikeni mnachotaka nyie,basi their favorite food ni chakula cha serikali wali ndondo bei rahisi,anachukua Mchele vikombe viwili na maharage kikombe kimoko toka kwenye ile stock ulinunua pale nzega wakati unatoka kwenye semina mwanza.
Ndo ushapigwa hivyo,hakunaga huduma ya bure mkuu hata kama ulilipa mahari kwao.