Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Mimi nina ratiba ya misosi:-

1.J3 -Ugali
2.J4 -Tambi
3.J5 -Wali
4.ALH-Chips
5.IJM -Ndizi/Nyama
6.JMO-Ugali
7.J2- Pilau
Tambi peke yake au?

Au tambi na nyama za kusaga?Zinawekwa na karoti, pilipili hoho vinakatwa vidogo vidogo, viazi mviringo vya kukaanga vinakatwa kiaina na mambo mengineo wanayoyajua wenyewe halafu ngoma inachanganywa!+ chai ya viungo. Kabla mdomo haujapata ladha ya chai pua kwanza inanusa harufu nzuri.

Au tambi na kuku wa kuoka!
 
Panga ratiba ya kula nyumbani! Na umwambie siku yoyote Man U ikishinda ratiba ya msosi inabadilika alijue kabisa! Lazima upikwe msosi unaoupenda zaidi.
Leo ntasema ugali samaki, kesho wali na marage, kesho kutwa ndizi nyama aisee...it gets over and over until it sucks.

Nimeishi home mama hakuwahi kuwa ananiuliza hilo swali and i really enjoyed getting to the table eating what mama prepared for us. Sometimes exciting stuffs, sometimes boring ila ni life.

Inakera unaulizwa tunakula nini ina maana yeye ni mvivu wa kufikiria kiasi hicho? Mtu umechoka zako unakuja tena kuulizwa miswali ya ajabu ajabu. Jiongezeni banaa!!!
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Kwa hilo shemela yuko sahihi
 
Kwani chakula nakula peke angu. Kwanini nisiwashirikishe ninao kula nao. Ratiba ya mwezi mzima ambayo itakua inajirudia mwaka mzima kwanini watu wasiseme wanachopendelea kula unless ukiwaza chakula kwako wewe ni wali na ugali ila kama ni zaidi ya hapo utahitaji wanafamilia wengine wanaokula waseme pia.
Yeah unachokisema ni kweli, hakuna kbaya juu ya hilo mkuu, lkn kwa kuwa mama ni mlezi wa familia anategemewa ajue nn preferable foods kwa 'wanae' then from there it's all about her kuamua kipi kipikwe siku husika, hiyo huenda ikapunguza kero wanazozieleza kina baba hapa.
 
Tambi peke yake au?

Au tambi na nyama za kusaga?Zinawekwa na karoti, pilipili hoho vinakatwa vidogo vidogo, viazi mviringo vya kukaanga vinakatwa kiaina na mambo mengineo wanayoyajua wenyewe halafu ngoma inachanganywa!+ chai ya viungo. Kabla mdomo haujapata ladha ya chai pua kwanza inanusa harufu nzuri.

Au tambi na kuku wa kuoka!

Yes Mkuu umepita humo humo.
 
Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
Ukishaniuliza tayari umenikata hamu ya kula, napenda nitakachokula kiwe sapulaizi kwangu, na kwa muda tuliokaa wote unajua na penda nini na sitaki nini, swali ambalo sipendi kuulizwa katika maisha yangu ni hilo la tupike nini leo?
 
Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi

And in most cases ukipika ulichopanga wewe wanaanzaga kulalamika utasikia ‘mi nlijua utapika wali nyama’ hapo umepika wali kuku [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]....
 
Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
Kwahiyo hawa wasiopenda kuulizwa migawahani wanakula watakacholetewa Life is Easy tusicomplicate mambo madogo.
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
She just want to know ur taste of food for a day; there is nothing wrong about..
 
She already knows napenda nyama, pilau, kambale na wali! She just asks so frequent to an extent that it annoys me 😂😂😂
She just want to know ur taste of food for a day; there is nothing wrong about.
 
And in most cases ukipika ulichopanga wewe wanaanzaga kulalamika utasikia ‘mi nlijua utapika wali nyama’ hapo umepika wali kuku [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]....
We pika hicho hicho mi ntakula, mama yangu alinifundisha kutokubagua chakula i used to eat hata ambavyo sivipendi kwa sababu hio hio. Kula kitu ambacho ni suprise its fun sababu ukishajibu hilo swali mara nyingi utaitwa ushiriki kumenya vitunguu huko jikoni 😂😂😂 kitu ambacho kinakera zaidi.
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Mkuu kumbe tuko wengi .
Hill swali huwa naulizwa kila jioni,na mimi jibu langu huwa nyie pikeni mnachotaka mi ntakula matunda tu.
Lakini bado ataomba umshauri.

Dah pole sana mkuu kumbe my wife wako nae ni kama huyu hapa.
 
Back
Top Bottom