Yah kumu advise avaeje ni muhimu and she feel cherished. Mi huwa nainjoy sana pia kumsimamia mavazi.Hahaha kuishi na Hawa viumbe yataka kuwaelewa kweli kweli na kuwachukulia nadhani hakuna ubaya juu ya Hilo swali ingawaje Kuna saa linaboa hasa pale unapotaka kuona ubunifu wake.mi siyo Hilo tu kila asubuhi ananiuliza Leo nivae Nguo gani,nagundua nikimwambia vaa hiki na kile anafurahi na kujiamini Sana hata Kama nikimchagulia fambaπ
Duh poleni sana aisee[emoji1751]Kalikuwa on de way ila mambo yakawa sio. Navuta mda after full recovery nitupie jingine. [emoji16]
Hahahah ukiwa smart tutakula wote, sio chakula kinaliwa saa 4 usiku, lunch saa 10 jioni πππ![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mimi mume wangu katika hili lazima tukubaliane mapema kabisa .. lazima ale nyumbani, tena tunamsubiri muda wa kula awepo..
Kama atatoka baada ya kula ni sawa ila muda wa kula ajiandae tu kurudi nyumbani .
Mungu ni mwaminifu Sana[emoji4]Amen, hili tatizo limekuwa common kwa wengi sikuhiz ila mungu ata bless
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah ukiwa smart tutakula wote, sio chakula kinaliwa saa 4 usiku, lunch saa 10 jioni [emoji16][emoji16][emoji16]!
Nyumba lazma iwe na ratiba nyoofu. Chai saa 2, lunch saa 6/7 cha jioni saa 1 kiwe tayar by saa 2 watu washakula.
Hahahah ukigundua hilo unamsema tu lakini. Asitese watoto kwa tamaa zake za kubana hela ya kula πππ akitaka aombe umpe za kwake...Unamtishia tishia kidogoPia kautafiti nilikafanya,wamama Wa nyumbani huwa wanajilipa na ile Kodi ya meza unayoacha asubuhi,kwa hyo anaibana ili apige cha juu.
Anakuuliza kukufanyia timing ili usimbane ametumiaje hyo hela,has a kama wewe ni mzee mnoko,utasikia sisi tunakuwazia wewe sisi tuko sawa we utajibu simple 2 pikeni mnachotaka nyie,basi their favorite food ni chakula cha serikali wali ndondo bei rahisi,anachukua Mchele vikombe viwili na maharage kikombe kimoko toka kwenye ile stock ulinunua pale nzega wakati unatoka kwenye semina mwanza.
Ndo ushapigwa hivyo,hakunaga huduma ya bure mkuu hata kama ulilipa mahari kwao.
Kula na wanao tu maana huku nje mishkaki choma na bia ilivyo mitamu. Haielezeki!!!
Sasa mkuu umewekeza uchagani,hapo kwenye ndoa yeye kwake ni ajira.Hahahah ukigundua hilo unamsema tu lakini. Asitese watoto kwa tamaa zake za kubana hela ya kula πππ akitaka aombe umpe za kwake...Unamtishia tishia kidogo
Sema wanaume tuna upendo sana na familia,utakula nyama huko ila kale kamwisho kanakobaki utamwambia mchoma nyama nifungie kwenye foil unaenda nako home.Kula na wanao tu maana huku nje mishkaki choma na bia ilivyo mitamu. Haielezeki!!!
Wasahau kama ndoa ni taasisi.Hahahah kwahio yupo kiuwekezaji zaidi πππ
Wala..hapo hamjatibuana wala nin[emoji1] mkuu hapo ni baada ya kutibuana ama?
Siyo bado mtoto sipendi vurugu, ..Duh pole mkuu, au bado mtoto sana? Afu wewe unaonekana hupendi vurugu.
Uhakikishe umepika kwa wakati pia, sio mambo ya kurudi ndio tunaanza ulizana bebi tunakula niniπ ntakuwa nikija nimeshiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mtu azunguke awezavyo ila usiku ahakikishe anarudi kula nyumbani.
Bila hivyo hatutaelewana[emoji1787]
Ukifika umeshakula ,unanuniwa au unaambiwa umekula kwa michepuko ...Uhakikishe umepika kwa wakati pia, sio mambo ya kurudi ndio tunaanza ulizana bebi tunakula niniπ ntakuwa nikija nimeshiba