Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 712
- 1,748
Tangu siku ile nilikataa kuulizwa leo tunapika nini niliulizwa love leo nikupikie nini nikajibu pika wali na maharage yeye akanijibu bwana maharage yanachelewa kuiva kwa nini tusipike ugali na dagaa mchele wa kukaanga pumbavu uliniuliza ili iweje sasa wakati cha kupika ulishakipanga tayari