Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

Hivi nani mwingine anakereka na hili swali toka kwa wife?

"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
uwe unamjibu sekela
 
haufiki kwangu anajua Mimi na kande na chai yamaziwa iliyoungwa kwelikweli lakini bado ananiuliza
 
Firstly,Kuna kuoa msichana aliyekuwa anataka ndoa na kuoa msichana anayekupenda ,kama n alitaka ndoa hakujali c tyl ,kama anakupenda kila kitu atapenda kiwe kizr kwako na kwa wanaume n ivo ivo,
 
"Bebi Leo tunakula nini?"

Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.

Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
mtajie chakula ambacho hakipo ndani halafu usisubiri maswali, pitiliza hadi chumbani ukalale, au kama ulishinda nyumbani toka nje ukapige misele urudi baadae sana...
 
Back
Top Bottom