Tumia mshahara wako / mwajiri wako kama dhamana, Nenda benki kachukue fedha na ujenge.Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Muulize mkeo kwanza hilo swali mkuuMbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Kama una kiwanja tayari unaweza kujenga...
labda nyumba ya buibuiMbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Muulize mwalimu Mpwayungu Village yeye alitoboaje mkuu? Mshahara wa laki 5 unashindwaje kujenga wakati wenye mshahara wa laki 3 wanajenga fasta tu?Mbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.
Ety frame πππTumia mshahara wako / mwajiri wako kama dhamana, Nenda benki kachukue fedha na ujenge.
Hakikisha chumba kimoja ni Fremu ya duka (ambapo utaweka biashara yako au utakodisha).
Mil15 ni kiwanja cha dogo langu kanunua pembeni ya jiji ila kwawengine ndo mkopo wa kujengea! Kweli maisha hayapo sawa, ila tukijitahidi kuwekeza tutapata ela nzuri kwa iyo ela utajenga ila utairudisha kwa mateso sana kheri kuwekeza kama unaujasiri kanunue ata shamba kubwa la miwa ni bora kuliko kujengeaMbona naona kama nimekuja kuwasindikiza walimwengu? Age 30, kazi mshika chaki, familia na mke mtoto mmoja, elimu degree, uwezo wa kukopeshwa million 15, nina miaka 2 kazini,
Naweza kujenga nyumba? Au niachane na pressure za kujenga? Niende nikalime? Naona Kama nawasindikiza wanadamu hivi. Sioni nikijenga kabisa.