komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hayo maelezo hayabadilishi km hzo bidhaa bei kenya na tanzania hazikupishana sana...
Halafu ksh 200 mbna maskini ywala vizuri sana...
Tatizo mnapenda kupandikiziana vitu msivyovijua..
Anyway, nikuulize tanzania ndiko hamna watu wanaosema maisha magumu..hyo huaga ni perspective tu ya raia wengi duniani..hta marekani si ajabu kuna watu pia wanasema vyuma vimekaza awamu hii ya trump
Halafu ksh 200 mbna maskini ywala vizuri sana...
Tatizo mnapenda kupandikiziana vitu msivyovijua..
Anyway, nikuulize tanzania ndiko hamna watu wanaosema maisha magumu..hyo huaga ni perspective tu ya raia wengi duniani..hta marekani si ajabu kuna watu pia wanasema vyuma vimekaza awamu hii ya trump
Usijitoe akili bandugu.
Kenya maisha yako bei juu sana mpk raia wenu wanalalamika.
Na kuhusu bidhaa ninyi tunakaribiana ktk maeneo ya mjini hususan Dar maisha ni bei.
Ila huko kwingine vitu vinauzwa nusu ya bei yenu ya huko ndogo.
Hakuna asiyejua kuwa maskini wa Tanzania anaweza kuishi kwa tsh 5000 kwa siku ambayo ukiibadilisha ni sawa na 225ksh.
Je maskini wa kibera ana uwezo wa kuishi kwa 225ksh km maskini wa Tandale???